MABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI WATEMBELEA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2ONq0jtlaU/VWgkiSc89oI/AAAAAAAHaiQ/nEK76Rfo4wc/s72-c/unnamed.jpg)
Pichani ni Mabalozi wa Tanzania Nje ya Nchi Waliotembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wa kwanza kushoto ni Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
Wanachama wa SACCOS ya Katoro, Geita watembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya wanachama wa SACCOS ya Katoro , Geita waliotembelea Bunge mjini Dodoma Novemba 24, 2014 kwa mwaliko wa Mbunge wao, Lolesia Bukwimba. (Pichana Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa SACCOS ya Katoro, Geita waliotembelea Bunge mjini Dodoma kwa mwaliko wa Mbunge wao wa jimbo la Busanda Lolesia Bukwimba (wapili kushoto kwake) Novemba 24, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnc0O0Hxb4g/VlLWS7jQ51I/AAAAAAAIH7w/HMt_9a4LoNI/s72-c/IMGL0862.jpg)
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnc0O0Hxb4g/VlLWS7jQ51I/AAAAAAAIH7w/HMt_9a4LoNI/s640/IMGL0862.jpg)
Niko hapa leo kutimiza matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 91 Ibara ndogo ya kwanza inayonitaka kulihutubia na kulifungua rasmi Bunge hili. Naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na afya njema, na kutuwezesha kuwepo hapa siku ya leo. Aidha nitumie fursa hii kuwakumbuka wenzetu ambao, kwa namna na nafasi mbalimbali, walishiriki katika mchakato wa uchaguzi huu na kwa bahati mbaya walipoteza maisha yao kabla ya mchakato haujakamilika. Kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UhcQEJn1XYQ/VHn9rV-JTnI/AAAAAAAG0Qk/TtyPew4En98/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 16 NA 17 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 29 NOVEMBA, 2014
Mheshimiwa Spika,1. Leo tunahitimisha shughuli za Mkutano wa Kumi na Sita na Kumi na Saba wa Bunge lako Tukufu. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.
Mheshimiwa Spika,2. Mkutano huu ulijumuisha kujadili kazi kubwa zifuatazo:
Kwanza: Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2015/2016;
Pili:Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 [The Tax Administration...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Qqt3fe2ug_I/U7VAfCXcieI/AAAAAAAFulQ/s1PIEDT3gD0/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AKUTANA NA MABALOZI WA OMAN NA SYRIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qqt3fe2ug_I/U7VAfCXcieI/AAAAAAAFulQ/s1PIEDT3gD0/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FbKmvVZnWTQ/U7VAfYrMVqI/AAAAAAAFulU/INZG50v7WhY/s1600/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YAfKnt9U6yg/U7VAffbEWeI/AAAAAAAFulc/UDwYvQwWGKw/s1600/1.jpg)
Makamu Wa Rais wa...
10 years ago
Dewji Blog28 May
Rais wa Zanzibar, Dk. Shein afunga mkutano wa mabalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Dar
![087](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/087.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PSqouVrgRIw/VWWbljQdo_I/AAAAAAAA-R0/GwnD7V2FhbM/s640/088.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pivZv1Bnw7w/VWWbmuMFMbI/AAAAAAAA-R8/M8WVexVo8hs/s640/096.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WFdeIxQPA3c/VWWblfJSyqI/AAAAAAAA-Rw/62pHs9PZ4GU/s72-c/087.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR AFUNGA MKUTANO WA MABALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-WFdeIxQPA3c/VWWblfJSyqI/AAAAAAAA-Rw/62pHs9PZ4GU/s640/087.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PSqouVrgRIw/VWWbljQdo_I/AAAAAAAA-R0/GwnD7V2FhbM/s640/088.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pivZv1Bnw7w/VWWbmuMFMbI/AAAAAAAA-R8/M8WVexVo8hs/s640/096.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dKZZs80U6zc/VmrPckEo93I/AAAAAAAILqE/ZNZ7oPOER7k/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA MABALOZI WA NORWAY NA MALAWI
Katika hatua nyingine, Mheshimiwa Makamu wa Rais leo Desemba 11, 2015 amekutana na Balozi wa Norway nchini...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6GgdbSxyZ2s/VZ92s6ZG7ZI/AAAAAAAHodQ/ekg5_Zbh9yw/s72-c/b8.jpg)
JK ALIPOHUTUBIA BUNGE LA KUMI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6GgdbSxyZ2s/VZ92s6ZG7ZI/AAAAAAAHodQ/ekg5_Zbh9yw/s640/b8.jpg)
![b10](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2015/07/b10.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uGeiKiA1pnI/VZ92layAjbI/AAAAAAAHodA/ySEqd22H8NM/s640/b35.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-52VoyTACVxg/VZ92rtcYd_I/AAAAAAAHodM/Uai4ne0xoRg/s640/b41.jpg)