Waahidi kuendesha kesi za uchaguzi kwa kasi
MSAJILI Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Katarina Revocatti na Msajili wa Mahakama ya Rufaa, John Kahyoza wameahidi kuwa na kasi katika uendeshaji wa kesi zitakazojitokeza baada ya Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika keshokutwa Jumapili nchi nzima.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Oct
Waangalizi wa EAC waahidi kufanya kazi kwa kufuata sheria katika Uchaguzi mkuu.
Timu ya Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu Tanzania kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), imezinduliwa jijini Dar es Salaam na kusema itafanya kazi yake kwa kufuata sheria za nchi na kanuni za jumuiya hiyo.
Timu hiyo ina jumla ya waangalizi 67 wa kutoka nchi NNEe kati ya tano ambao ni Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, Mwenyekiti akiwa Makamu wa Rais wa zamani wa Kenya, Moody Awori.
Waangalizi hao miongoni mwao ni wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Tume za Taifa za Uchaguzi,...
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU TAMISEMI AWAASA WANASIASA,WAGOMBEA NA WASHABIKI KUENDESHA KAMPENI KWA AMANI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba 14 mwaka huu ambapo amesema...
10 years ago
Bongo508 Oct
Lundenga ashinda kesi ya kuendelea kuendesha shindano la Miss Tanzania, Oct 11
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Wagombea waahidi uchaguzi wa amani Nigeria
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Axo3GblqLG0/Xnnn7zdJlvI/AAAAAAALk5M/0eiHOzTrmb0N7vNTydmOsMi1Tdn221VHwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KUTUMIA 'VIDEO CONFERENCE' KUENDESHA KESI ILI KUEPUKA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Axo3GblqLG0/Xnnn7zdJlvI/AAAAAAALk5M/0eiHOzTrmb0N7vNTydmOsMi1Tdn221VHwCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imesema kutokana ugonjwa wa Corona kuendelea kuwa tishio duniani na hata kama ikitokea Mahakama zikatakiwa kufungwa basi shughuli za kimahakama hazitasimama na badala yake zitakuwa zikifanyika kwa njia ya mtandao.
Pia imeelezwa kuwa kuanzia kesho mahabusu ambao walikuwa wanapaswa kuletwa Mahakama Kuu na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kusikiliza kesi zao hawataletwa, badala yake utatumika mfumo wa vedio maarufu...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Kesi ya Suma JKT yashika kasi
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imesema Februari 5, mwaka huu itatoa uamuzi wa kuwaona Kanali wa Jeshi la Kujenga Taifa, Ayoub Mwakang’ata na wenzake wanaokabiliwa na makosa...
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Itakua ni ''uendawazimu'' kuendesha uchaguzi wakati wa corona, asema rais wa Uganda
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Mbio uchaguzi wa ndani Chadema zashika kasi
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Waungana kuendesha elimu ya ujasiriamali kwa wanafunzi