Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbio uchaguzi wa ndani Chadema zashika kasi

Mbio kuelekea uchaguzi mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zinazidi kushika kasi baada ya wagombea zaidi kujitokeza kuchukua fomu za kuwania ujumbe wa Kamati Kuu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Chadema yavuta kasi mbio za urais Zanzibar

Wakati NCCR-Mageuzi na CUF wakitangaza nia ya kugombea urais wa Zanzibar, Chadema bado wanaangalia mvumo wa upepo kabla ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuteua mwakilishi mmoja wa kupambana na CCM.

 

10 years ago

BBCSwahili

Juhudi za uokozi zashika kasi Malawi

Juhudi za kuwaokoa watu walioathiriwa na mafuriko katika sehemu kubwa ya Malawi imeanza katika mafuriko mabaya kukumba nchi hio ambapo takriban watu 50 wamefariki

 

11 years ago

BBCSwahili

Malaysia:Juhudi za kuisaka ndege zashika kasi

Wiki 1 tangu ndege ya Malaysia iliyokuwa imewabeba abiria 239 kutoweka, juhudi za kimataifa kuisaka ndege hiyo bado zinaendelea.

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema yaanza mbio Uchaguzi mkuu rasmi.

Yawataka wanachama kujitokeza kuchukua fomu, Wagombea urais kuchujwa Ukawa.Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetoa ratiba kwa wanachama wake wanaotaka kugombea udiwani, ubunge na urais kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba, 2015 kujitokeza kuchukua fomu.

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe, alitangaza ratiba hiyo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam kuhusiana na maazimio yaliyofikiwa na Kamati...

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Uchaguzi waathiri mbio za Mwenge

Vuguvugu la Uchaguzi Mkuu unaoendelea nchini linaelezwa kuwa chanzo cha kudorora kwa mbio za Mwenge kulinganishwa na miaka iliyopita.

 

11 years ago

Habarileo

Katibu Chadema, wenzake washiriki mbio za Mwenge

VIONGOZI wa vyama vya upinzani mjini Morogoro, wameshiriki katika Mbio za Mwenge wa Uhuru. Viongozi hao walioshiriki katika mbio hizo ni Katibu wa Chadema wa Mkoa wa Morogoro, Ngonyani Boniface, Mwenyekiti wa TLP Wilaya ya Morogoro, Juma Kasielo, Mwenyekiti wa Chama cha Jahazi Asilia, Ismail Rashid na Katibu wa UDP Wilaya ya Morogoro, Salum Mwandule.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani