Mbio uchaguzi wa ndani Chadema zashika kasi
Mbio kuelekea uchaguzi mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zinazidi kushika kasi baada ya wagombea zaidi kujitokeza kuchukua fomu za kuwania ujumbe wa Kamati Kuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Chadema yavuta kasi mbio za urais Zanzibar
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Juhudi za uokozi zashika kasi Malawi
11 years ago
BBCSwahili15 Mar
Malaysia:Juhudi za kuisaka ndege zashika kasi
10 years ago
Vijimambo06 May
Chadema yaanza mbio Uchaguzi mkuu rasmi.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetoa ratiba kwa wanachama wake wanaotaka kugombea udiwani, ubunge na urais kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba, 2015 kujitokeza kuchukua fomu.
Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe, alitangaza ratiba hiyo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam kuhusiana na maazimio yaliyofikiwa na Kamati...
10 years ago
Michuzi14 May
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Vijimambo10 years ago
Mwananchi12 Aug
NYANZA: Uchaguzi waathiri mbio za Mwenge
11 years ago
Habarileo22 Jun
Katibu Chadema, wenzake washiriki mbio za Mwenge
VIONGOZI wa vyama vya upinzani mjini Morogoro, wameshiriki katika Mbio za Mwenge wa Uhuru. Viongozi hao walioshiriki katika mbio hizo ni Katibu wa Chadema wa Mkoa wa Morogoro, Ngonyani Boniface, Mwenyekiti wa TLP Wilaya ya Morogoro, Juma Kasielo, Mwenyekiti wa Chama cha Jahazi Asilia, Ismail Rashid na Katibu wa UDP Wilaya ya Morogoro, Salum Mwandule.