Chadema yaanza mbio Uchaguzi mkuu rasmi.
Yawataka wanachama kujitokeza kuchukua fomu, Wagombea urais kuchujwa Ukawa.Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetoa ratiba kwa wanachama wake wanaotaka kugombea udiwani, ubunge na urais kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba, 2015 kujitokeza kuchukua fomu.
Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe, alitangaza ratiba hiyo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam kuhusiana na maazimio yaliyofikiwa na Kamati...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Aug
Mbio uchaguzi wa ndani Chadema zashika kasi
10 years ago
Michuzi
CCM YAANZA NA MTAJI WA UBUNGE KABLA YA UCHAGUZI MKUU

Hatua hiyo Imetokea baada ya wagombea wawili wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Na aliekuwa Mgombea wa Chama cha Wananchi CUF Kutojitokeza Kurudisha Fomu...
11 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA



10 years ago
Mwananchi25 May
Uchaguzi Mkuu, CCM sasa rasmi
10 years ago
Michuzi
NEC yatoa Ratiba Rasmi ya Uchaguzi Mkuu.

11 years ago
GPL
UCHAGUZI MKUU CHADEMA WAANZA JIJINI DAR
10 years ago
Mwananchi04 May
Chadema yamng’ang’ania JK kuhusu Uchaguzi Mkuu
10 years ago
CHADEMA Blog
Taarifa Rasmi Kutoka UKAWA Kuhusu Uchaguzi Mkuu Unaoendelea Leo- 25/10/2015
10 years ago
GPLCHADEMA WATOA UTARATIBU UTEUZI WA WAGOMBEA UCHAGUZI MKUU 2015