Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malaysia:Juhudi za kuisaka ndege zashika kasi

Wiki 1 tangu ndege ya Malaysia iliyokuwa imewabeba abiria 239 kutoweka, juhudi za kimataifa kuisaka ndege hiyo bado zinaendelea.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Juhudi za uokozi zashika kasi Malawi

Juhudi za kuwaokoa watu walioathiriwa na mafuriko katika sehemu kubwa ya Malawi imeanza katika mafuriko mabaya kukumba nchi hio ambapo takriban watu 50 wamefariki

 

11 years ago

BBCSwahili

Malaysia:Shughuli zaendelea kuisaka ndege

Ndege na meli kutoka nchi mbali mbali zinaendelea kutafuta mabaki ambayo huenda yanatokana na ndege ya Malaysia iliyopotea nchini Australia

 

11 years ago

BBCSwahili

Malaysia yazidisha kasi kutafuta Ndege

Mamlaka nchini Malaysia imesema juhudi za kusaka Ndege iliyotoweka zimeongezeka mara mbili zaidi

 

11 years ago

GPL

SIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000

Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia, Warren Truss, kulia, akizungumza na ofisa wa juu ya kikosi cha uokoaji na mratibu wa operesheni ya kuitafuta ndege iliyopotea, John Rice. Wataalamu wa Rada wakiwa wamepigwa picha ndani ya ndege ya Kijeshi ya New Zealand wakiwa katika msako wa chombo hicho kilichopotea Kusini mwa bahari ya…

 

10 years ago

Mwananchi

Mbio uchaguzi wa ndani Chadema zashika kasi

Mbio kuelekea uchaguzi mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zinazidi kushika kasi baada ya wagombea zaidi kujitokeza kuchukua fomu za kuwania ujumbe wa Kamati Kuu.

 

11 years ago

GPL

PICHA SI ZA MABAKI YA NDEGE YA MALAYSIA - MAOFISA WA MALAYSIA

Waziri wa ulinzi Hishammuddin Hussein (katikati) akikanusha madai ya ndege kukaa masaa manne hewani kabla ya kupotea.…

 

11 years ago

GPL

SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI

Wanawake wawili (mmoja hayupo pichani) wakiondolewa kwa nguvu kwenye mkutano wa waandishi wa habari ambao ulipangwa kufanyika leo mjini Kuala Lumpur.  Wanawake hao ni baadhi ya ndugu ‘waliopotea’ katika ndege aina ya Boeing 777 namba MH370 iliyopotea zaidi ya siku 10 zilizopita ambao wameilaumu serikali ya Malaysia kwa kutowaambia ukweli na kuwazungusha kuhusu juhudi za kweli kuhusiana na ndugu zao.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

MABAKI YA NDEGE YANAYOSEMEKANA NI YA NDEGE YA MALAYSIA

Ndege ya Malaysia iliyopotea yaBoing 777 , MH370
Mamlaka ya usafirishaji nchini Ufaransa imesema inachunguza mabaki ya ndege ya yanayodaiwa kupatikana ndani ya Bahari ya Hindi yanachunguzwa ili kubaini kama ni ya ndege ya Malaysia ya MH370 iliyopotea bila kuwa na taarifa zozote kwa muda mrefusasa.

Taarifa kutoka Marekani zinasema wachunguzihao ambao wameona picha za mabaki hayo wana uhakika mkubwa kwamba ni ya ndege hiyo ya Malaysia ambapo mabaki hayo ni sehemu ya bawa la ndege.

Hata hivyo,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Malaysia haijapatikana

Maafisa nchini Malysia wanaendelea kuitafuta ndege iliyotoweka wakati ikitoka Kuala Lumpur kuelekea Beijing Jumamosi iliyopita

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani