Malaysia yazidisha kasi kutafuta Ndege
Mamlaka nchini Malaysia imesema juhudi za kusaka Ndege iliyotoweka zimeongezeka mara mbili zaidi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili15 Mar
Malaysia:Juhudi za kuisaka ndege zashika kasi
Wiki 1 tangu ndege ya Malaysia iliyokuwa imewabeba abiria 239 kutoweka, juhudi za kimataifa kuisaka ndege hiyo bado zinaendelea.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGFMwh5Ceg7BXEC662X9vMFXEnx1z9OTx*7cfJZorojLiN4FpgOdi*Lmfz-hdnOtWfQ4ZoBEkxbiQdjbhCS99Mb2/NDEGEKUPOTEA1.jpg?width=650)
SIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000
Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia, Warren Truss, kulia, akizungumza na ofisa wa juu ya kikosi cha uokoaji na mratibu wa operesheni ya kuitafuta ndege iliyopotea, John Rice. Wataalamu wa Rada wakiwa wamepigwa picha ndani ya ndege ya Kijeshi ya New Zealand wakiwa katika msako wa chombo hicho kilichopotea Kusini mwa bahari ya…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhmxEpcM5NKRVYcj176nP8jC-vTe3qNFifzWYnR5EQTf7ojf7oMxlcw7TcPYwDNzLwhsgz7N*Z-WuHrnkLrGeUNq/MH3701.jpg?width=650)
PICHA SI ZA MABAKI YA NDEGE YA MALAYSIA - MAOFISA WA MALAYSIA
Waziri wa ulinzi Hishammuddin Hussein (katikati) akikanusha madai ya ndege kukaa masaa manne hewani kabla ya kupotea.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*X48WsmNc23pmAB6oPcDv5ITM4Ut6B81jkUWsZQnbW89vUcnUyeltPn5O34Ge4z1GYQDZKo3PdFtKSkDX--vxEg/article25841331C69423300000578784_634x422.jpg?width=650)
SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI
Wanawake wawili (mmoja hayupo pichani) wakiondolewa kwa nguvu kwenye mkutano wa waandishi wa habari ambao ulipangwa kufanyika leo mjini Kuala Lumpur. Wanawake hao ni baadhi ya ndugu ‘waliopotea’ katika ndege aina ya Boeing 777 namba MH370 iliyopotea zaidi ya siku 10 zilizopita ambao wameilaumu serikali ya Malaysia kwa kutowaambia ukweli na kuwazungusha kuhusu juhudi za kweli kuhusiana na ndugu zao.… ...
10 years ago
Vijimambo30 Jul
MABAKI YA NDEGE YANAYOSEMEKANA NI YA NDEGE YA MALAYSIA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/07/150307074359_mh370_512x288_non_nocredit.jpg)
Mamlaka ya usafirishaji nchini Ufaransa imesema inachunguza mabaki ya ndege ya yanayodaiwa kupatikana ndani ya Bahari ya Hindi yanachunguzwa ili kubaini kama ni ya ndege ya Malaysia ya MH370 iliyopotea bila kuwa na taarifa zozote kwa muda mrefusasa.
Taarifa kutoka Marekani zinasema wachunguzihao ambao wameona picha za mabaki hayo wana uhakika mkubwa kwamba ni ya ndege hiyo ya Malaysia ambapo mabaki hayo ni sehemu ya bawa la ndege.
Hata hivyo,...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Kasi kutafuta mwafaka kuhusu Nuklia
Mataifa sita yenye ushawishi duniani na pamoja na Iran yanakutana kwa awamu ya mwisho ya majadiliano kabla ya muda wa mwisho wa kufikia makubaliano kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran.
9 years ago
BBCSwahili17 Aug
Shughuli za kutafuta ndege zasitishwa
Utawala nchini Indonesia unasema kuwa hali mbaya ya hewa imezuia utafutaji wa ndege iliyoanguka mashariki mwa Papua.
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Ndege ya Malaysia haijapatikana
Maafisa nchini Malysia wanaendelea kuitafuta ndege iliyotoweka wakati ikitoka Kuala Lumpur kuelekea Beijing Jumamosi iliyopita
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
Haya ni mabaki ya ndege ya Malaysia?
Ufaransa imesema inachunguza mabaki ya ndege yanayodaiwa kupatikana ndani ya Bahari ya Hindi kama ni ya ndege ya Malaysia ya MH370
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania