KATIBU MKUU TAMISEMI AWAASA WANASIASA,WAGOMBEA NA WASHABIKI KUENDESHA KAMPENI KWA AMANI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Jumanne Sagini akionyesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) Daftari la Wapiga Kura linalotumika kuandikisha wananchi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kushoto ni Mratibu wa Uchaguzi huo Bw. Denis Bandisa.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba 14 mwaka huu ambapo amesema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kACAq4_o9tc/VKq9jegC9-I/AAAAAAAAVSo/NYpz3w1-qaw/s72-c/26.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASHUKURU WAKAZI WA TANGA KWA KUFANYA VYEMA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kACAq4_o9tc/VKq9jegC9-I/AAAAAAAAVSo/NYpz3w1-qaw/s1600/26.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wq6Ei-z0cnI/VKrBrRJu6ZI/AAAAAAAG7iQ/S4CNOzGyaL8/s1600/10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0FdqA3e87og/VKrByYEUoeI/AAAAAAAG7is/ZKg312JSdis/s1600/14.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXSl2s8NkHz4bXBkO6k973UcLHYwLI8JxrUt675icPcE3rTdBr7m5kjeRD2N-0qIn4-0NzVvQgG*2cPGeiMo3836/02.jpg?width=650)
NAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA(TAMISEMI)MH.KASSIM MAJALIWA AZINDUA RASMI KAMPENI YA FISTULA MWISHONI MWA WIKI
10 years ago
Habarileo27 Nov
Tamisemi yahamasisha uandikishaji uchaguzi wa serikali za mitaa
OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imeomba viongozi wa vyama vya siasa na asasi za kiraia kuhamasisha watanzania kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kupiga kura waweze kushirikiana katika uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xlHaTtzECyk/VGyyuN93GcI/AAAAAAAGySQ/SRw1nh7RMhk/s72-c/DSC_0322.jpg)
TAMISEMI YATANGAZA TAREHE YA KUJIANDIKISHA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xlHaTtzECyk/VGyyuN93GcI/AAAAAAAGySQ/SRw1nh7RMhk/s1600/DSC_0322.jpg)
====== ======== =====
Mkurugenzi wa Serikali za Mitaa katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Bwana Kharist Michael Luanda amesema wananchi wanapaswa kujiandikisha...
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
RC Arusha awapongeza wadau kwa kufanikisha uchaguzi serikali za mitaa kwa amani
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Daud Felix Ntibenda akiwa ofisini kwake jijini Arusha.
Na Mahmoud Ahmad, Arusha
MKUU Wa mkoa wa Arusha, Daud Felix Ntibenda (Kijiko), amewapongeza wananchi wa jimbo la Arusha, pamoja na vyombo vya habari na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kufanikisha zoezi la uchaguzi bila ya vurugu wala matukio ya uvunjifu wa Amani .
Mkuu huyo wa mkoa ametoa pongezi hizo leo ofisini kwake alipokuwa akipokea taarifa ya uchaguzi wa marudio wa jiji la Arusha ,uliowasilishwa na...
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI NA KUWAPONGEZA KWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU KWA AMANI NA UTULIVU
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RGKUO9VU1_E/VIKmAht9tzI/AAAAAAAG1gw/jol8eTR4M1k/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
WAZIRI CHIKAWE ASHIRIKIANA NA WAGOMBEA SERIKALI ZA MITAA KUPIGA KAMPENI YA NYUMBA KWA NYUMBA JIMBONI NACHINGWEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RGKUO9VU1_E/VIKmAht9tzI/AAAAAAAG1gw/jol8eTR4M1k/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QG8AaR88Z0U/VIw4YtGyYBI/AAAAAAAG2_0/1CI8uT0Gr2w/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
TAMISEMI YAWEKA BAYANA utaratibu utakaotumika hapo kesho wakati wa upigaji kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa
![](http://4.bp.blogspot.com/-QG8AaR88Z0U/VIw4YtGyYBI/AAAAAAAG2_0/1CI8uT0Gr2w/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slc0NlylLsYbcs5UwLFJ3qlO6PyKv9KKijF3oHAR8sXPLRgDNvRXMG2ycSJdkN4PjL7mYJVYATk2aVc7Xdte4z-8/unnamed7.jpg?width=650)
MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KATA ZA MIKUMBI, NDARO NA MBANJA HUKO LINDI MJINI KWA AJILI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MKOANI LINDI