Wagombea wahimizwa amani
SHEHE wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amewahimiza wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu kufanya kampeni za kistaarabu ili kulinda amani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV05 Oct
Watanzania wahimizwa kudumisha amani
Kiongozi Mkuu Kanisa la Jeshi la Wokovu Duniani Jenerali Adre Cox amewataka Watanzania kuendeleza kudumisha Amani iliyopo inayotamaniwa na Nchi nyingi Ulimwenguni kwa kuhakikisha wanashiriki Uchaguzi kwa Salama.
Kiongozi huyo Mkuu wa Kanisa la Jeshi la wokovu Duniani pia amewataka viongozi wa dini Nchini kwa Imani zote kuhakikisha wanaketi pamoja na kuwa na Lugha moja ya kuliombea Taifa ili Uchaguzi uwe Huru na Haki
Kiongozi huyo ambaye kwa mara ya mwisho alizuru nchi Tanzania mwaka 2002,...
9 years ago
StarTV08 Sep
Wanasiasa wahimizwa kulinda amani na utulivu
Wanasiasa wa vyama mbalimbali wametakiwa kuilinda na kuiendeleza amani na utulivu iliyopo nchini katika kipindi hiki cha kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu kwa kutotoa maneno yatakayo hamasisha watanzania kufanya vurugu
Wakiongea na Star Tv baadhi ya wananchi wamesema kuwa toka nchi ipate uhuru haijawahi kufanya uchaguzi uliyo na ushindani mkubwa kama wa mwaka huu kutokana na joto la uchaguzi na ushabiki kuwa kubwa .
Mkuu wa wilaya ya Kondoa Shabani Kisu anapata nafasi katika uzinduzi...
11 years ago
Mwananchi18 May
Wahimizwa kueneza dini kwa amani
9 years ago
StarTV18 Sep
Viongozi wa dini wahimizwa kuiombea nchi amani
Serikali wilayani Meatu katika mkoa wa Simiyu imewataka viongozi wa madhehebu ya dini kuendelea kuiombea nchi amani katika kipindi hiki cha uchaguzi ili kufanya wa amani na haki.
Aidha viongozi hao wametakiwa kuacha upendeleo kwa chama kimoja cha siasa na badala yake watoe haki sawa kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika wilaya hiyo.
Wito huo umetolewa na mkuu wa wilaya ya Meatu Erasto Sima katika uzinduzi wa mkutano mkubwa wa Injili unaofanyika katika mji wa Mwanhuzi wilayani humo...
10 years ago
Habarileo06 Apr
Vijana wahimizwa kumcha Mungu kudumisha amani
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema Taifa lolote linalotaka kuwa na amani na utulivu lazima liwekeze katika kuhimiza vijana kumcha Mungu.
9 years ago
StarTV02 Nov
Watanzania wahimizwa kuendelea kuilinda misingi ya amani na utulivu.
Muhubiri wa kimataifa dokta Egon Falk amesema amani iliyopo nchini Tanzania itaendelea kuwepo miaka mingi ijayo kutokana na misingi imara iliyowekwa.
Amesema misingi hiyo ni ile inayopiga vita ukabila na udini ambayo imewekwa na viongozi wazalendo wenye nia njema na taifa hili.
Katika maombi yake ya kuombea amani nchi ya Tanzania aliyoyafamya katika kijiji cha Gitting wilayani Hanang mkoani Manyara, dkt Falk anasema watanzania wana kila sababu ya kujivunia utulivu huo.
Aidha katika...
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Wagombea waahidi uchaguzi wa amani Nigeria
9 years ago
Habarileo19 Oct
Wagombea urais wanne wasisitiza amani, umoja
WAGOMBEA wanne wa urais wamesisitiza amani na umoja wa Tanzania, huku wakielezea kuwa baadhi ya viongozi wamekuwa chanzo cha kuibuka kwa viashiria vya ubaguzi wa kidini, ukanda na ukabila.
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU TAMISEMI AWAASA WANASIASA,WAGOMBEA NA WASHABIKI KUENDESHA KAMPENI KWA AMANI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba 14 mwaka huu ambapo amesema...