Wahimizwa kueneza dini kwa amani
Masheikh na Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania wamekutana kukumbushana na kujengeana uwezo juu ya umuhimu wa kuzingatia misingi ya amani wanapoeneza imani ya Kiislamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV18 Sep
Viongozi wa dini wahimizwa kuiombea nchi amani
Serikali wilayani Meatu katika mkoa wa Simiyu imewataka viongozi wa madhehebu ya dini kuendelea kuiombea nchi amani katika kipindi hiki cha uchaguzi ili kufanya wa amani na haki.
Aidha viongozi hao wametakiwa kuacha upendeleo kwa chama kimoja cha siasa na badala yake watoe haki sawa kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika wilaya hiyo.
Wito huo umetolewa na mkuu wa wilaya ya Meatu Erasto Sima katika uzinduzi wa mkutano mkubwa wa Injili unaofanyika katika mji wa Mwanhuzi wilayani humo...
10 years ago
GPLWAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Membe atoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s72-c/11.jpg)
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqvScX6t4i4/VSJLh_gkyuI/AAAAAAAC27I/QXXUNvOPhYE/s1600/6.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI MHE. BERNARD MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE PAMOJA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...
9 years ago
StarTV12 Oct
Viongozi wa Dini wahimizwa kufuata sheria za nchi
Viongozi wa Dini nchini wametakiwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria za nchi wakati wanapotaka kusajili taasisi zao kwa ajili ya kutoa huduma za kiroho.
Tamko hilo limetolewa kwa madai kuwa baadhi ya Maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste ambao hawako kwenye Baraza la Makanisa nchini wanakiuka taratibu za usajilli.
Maaskofu hao wamelilaumu Baraza la Makanisa ya Kipentekoste na Serikali kuwa wanazuia usajili kukiwa na tetesi ya kutaka kufutwa kwa baadhi ya taasisi.
Akijibu...
11 years ago
Habarileo03 Aug
Viongozi wa dini wahimizwa kuombea Bunge la Katiba
MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher ole Sendeka amewaomba viongozi wa dini, kuliombea Bunge la Katiba ili kusaidia kupatikana kwa Katiba bora itakayowaongoza Watanzania katika maisha yao ya kila siku.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9c8gH-2nioU/Xm76xBA8ElI/AAAAAAAEGUA/qItYSWZO4OwpEdhofwGKo1Ihcj-khGTYwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bsn2b52228b831jl1w_800C450.jpg)
UN: Corona itadhibitiwa kwa kutumia mantiki, si kwa kueneza taharuki
![](https://1.bp.blogspot.com/-9c8gH-2nioU/Xm76xBA8ElI/AAAAAAAEGUA/qItYSWZO4OwpEdhofwGKo1Ihcj-khGTYwCLcBGAsYHQ/s640/4bsn2b52228b831jl1w_800C450.jpg)
Antonio Guterres alisema hayo jana Jumapili na kuongeza kuwa, "huu ni wakati wa kutumia mantiki, wala si taharuki; wakati wa kutumia sayansi badala ya kunyanyapaa; na ni wakati wa kueneza kauli zenye ithibati na si porojo za kutia woga."
Guterres amesema ingawaje ni jambo la kibinadamu kupatwa na...
9 years ago
Habarileo07 Sep
Wagombea wahimizwa amani
SHEHE wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amewahimiza wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu kufanya kampeni za kistaarabu ili kulinda amani.