Jukwaa la Katiba lataka wagombea kupima afya
JUKWAA la Katiba nchini (JUKATA) limesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa taifa, ipo haja ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kupimwa afya zao na kutangazwa kwa wananchi ili kuepuka kuwaweka wagonjwa madarakani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-40QZOuhQ-ro/U-vLsJW3U4I/AAAAAAAF_Tk/AXC6Tq0Eylk/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
MH. SITTA ATEMBELEWA NA JUKWAA LA KATIBA NA JUKWAA LA WAHARIRI MJINI DODOMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-40QZOuhQ-ro/U-vLsJW3U4I/AAAAAAAF_Tk/AXC6Tq0Eylk/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ncWsUxrZikk/U-vLsPQ6EdI/AAAAAAAF_To/cx_qkowHZvI/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
MichuziMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sQLXRFKBvhw/U1t_Kzv3LEI/AAAAAAAA5WQ/ok29kni0djo/s72-c/IMG_5381.jpg)
JUKWAA LA KATIBA WATANGAZA KUSULUHISHA MGOGORO WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sQLXRFKBvhw/U1t_Kzv3LEI/AAAAAAAA5WQ/ok29kni0djo/s1600/IMG_5381.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oYAWEZLZzDg/U1uAmdyUXnI/AAAAAAAA5Ws/DW1XJFss-WU/s1600/IMG_5402.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-akWdgh1cWfw/U1uAk_wp02I/AAAAAAAA5Wk/cTVkKXh6jnU/s1600/IMG_5393.jpg)
Waandishi wa Habari wakifuatilia. --- Na...
11 years ago
Dewji Blog27 Jul
Tamko la jukwaa la Katiba kuhusu Bunge Maalum la Katiba linaloanza Dodoma Agosti 5, 2014
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa tamko kuhusu Bunge la Katiba litakaloanza Agosti 5, 2014 ambapo walishauri Bunge hilo likae wiki mbili badala ya miezi miwili kama ilivyopangwa ili kupunguza matumizi makubwa ya fedha za Umma. Kutoka kushoto ni Mjumbe wa Kamati na Uongozi Jukata Omar Ali Omar, Meneja Habari na Mawasiliano wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Kenny...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Watanzania wahimizwa kupima afya
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Watanzania waaswa kupima afya
WATANZANIA wametakiwa kuwajibika kwa ajili ya afya zao kwa kwenda hospitali kupima mara kwa mara. Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam jana na Dk. Amyn Alidina, mtaalamu wa saratani katika Hospitali ya Aga Khan, alipokuwa...
10 years ago
Vijimambo26 May
Niko tayari kupima afya - Lowassa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowassa-26May2015.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, amesema kuwa kumekuwa na tabia ya watu kuombeana mabaya na mojawapo ni kuzushiana magonjwa na amependekeza kuwa wakati umefika kwa Chama Cha Mapinuzi (CCM) kupima afya za wagombea wake wa urais ili kujua ukweli nani mgonjwa.
Kadhalika, amesema kuwa yeye ni mzima wa afya na yuko tayari kwa chochote katika mchakato wa mapambano ya kuwaletea wananchi...