Niko tayari kupima afya - Lowassa.
Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa.
Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, amesema kuwa kumekuwa na tabia ya watu kuombeana mabaya na mojawapo ni kuzushiana magonjwa na amependekeza kuwa wakati umefika kwa Chama Cha Mapinuzi (CCM) kupima afya za wagombea wake wa urais ili kujua ukweli nani mgonjwa.
Kadhalika, amesema kuwa yeye ni mzima wa afya na yuko tayari kwa chochote katika mchakato wa mapambano ya kuwaletea wananchi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Jan
Zitto: Niko tayari
LICHA ya uongozi wa Chadema kutaka wanachama wa chama hicho kuacha kumpa ushirikiano Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, yeye amesema yuko tayari kufanya kazi na kiongozi yeyote wa chama hicho aliye tayari.
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Niko tayari kukamatwa-Maalim Seif
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Waziri mkuu Ethiopia:Niko tayari kukosolewa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jwlj1*6MhX1o-ANGPfa2br--50S-AnMxhXa*N03tN8Q5h8IQor8z-pTSRD-e1oCXhxhEPLTl3T*ETQ6l6GIlexm/allychoki.jpg)
CHOKI: NIKO TAYARI KUYAMALIZA NA ASHA BARAKA
11 years ago
Habarileo19 Apr
Sitta: Niko tayari kwa mazungumzo na Ukawa
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema ofisi yake ipo tayari kwa mazungumzo na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), ikiwa ni njia ya kuwezesha mchakato wa kutunga Katiba kuendelea kwa pamoja na kwa amani.
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Buhari: Niko tayari kushauriana na Boko Haram
9 years ago
Bongo515 Sep
Niko tayari kumzalia Nay Wa Mitego — Shamsa Ford
10 years ago
CloudsFM20 Mar
Niko tayari kuwa Baba wakambo wa Watoto wa Salima
9 years ago
Bongo Movies23 Dec
Ommy Dimpoz: Niko Tayari Kuoa Hata Sasa,Kama Nikipata…
Staa wa Bongo Fleva,Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amesema kuwa yuko tayari kuoa hata sasa hivi kama nikipata mtu sahihi katika maisha yake.
![Ommy Dimpoz](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/ommydimpoz.jpg)
Ommy Dimpoz akiwa na Mrembo
Ommy ameyazungumza hayo wakati akiitambulisha video ya ngoma yake mpya iitwayo ‘Achia Bodi’ kwenye kipindi cha Clouds360 cha Clouds Tv wakati alipoulizwa na mtangazaji kipindi hicho Hudson Kamoga kuwa anatarajia kuoa lini.
“Niko tayari kuoa hata sasa hivi kama nikipata mtu sahihi katika maisha yangu” Ommy Dimpoz.
Miezi ya hivi...