Sitta: Niko tayari kwa mazungumzo na Ukawa
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema ofisi yake ipo tayari kwa mazungumzo na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), ikiwa ni njia ya kuwezesha mchakato wa kutunga Katiba kuendelea kwa pamoja na kwa amani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Jimy Iyke: Niko tayari kufanya chochote kwa ajili ya watoto
Muonekano wa sura yake na nafasi ambazo mara nyingi hupangiwa kucheza kwenye filamu humfanya kuonekana mwanaume katili na asiye na chembe ya huruma ndani ya moyo wake.
11 years ago
Habarileo09 Jan
Zitto: Niko tayari
LICHA ya uongozi wa Chadema kutaka wanachama wa chama hicho kuacha kumpa ushirikiano Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, yeye amesema yuko tayari kufanya kazi na kiongozi yeyote wa chama hicho aliye tayari.
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
CAR tayari kwa mazungumzo na waasi
Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia amekubali kuzungumza na viongozi wa wapiganaji wanaohangaisha wananchi kwa misingi ya kidini.
10 years ago
Vijimambo26 May
Niko tayari kupima afya - Lowassa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowassa-26May2015.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, amesema kuwa kumekuwa na tabia ya watu kuombeana mabaya na mojawapo ni kuzushiana magonjwa na amependekeza kuwa wakati umefika kwa Chama Cha Mapinuzi (CCM) kupima afya za wagombea wake wa urais ili kujua ukweli nani mgonjwa.
Kadhalika, amesema kuwa yeye ni mzima wa afya na yuko tayari kwa chochote katika mchakato wa mapambano ya kuwaletea wananchi...
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Niko tayari kukamatwa-Maalim Seif
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema yuko tayari kukamatwa na kufikishwa mahakamani kujibu mashtaka, kama kitendo chake cha kujitangazia ushindi ni kosa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jwlj1*6MhX1o-ANGPfa2br--50S-AnMxhXa*N03tN8Q5h8IQor8z-pTSRD-e1oCXhxhEPLTl3T*ETQ6l6GIlexm/allychoki.jpg)
CHOKI: NIKO TAYARI KUYAMALIZA NA ASHA BARAKA
Stori: Gladness Mallya MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ally Choki amesema yupo tayari kumaliza tofauti zake na bosi wake wa zamani anayemiliki kundi la African Stars, Asha Baraka. Mkurugenzi wa bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Ally Choki
“Mimi niko tayari kuyamaliza na Asha Baraka, Global Publishers mlishajaribu kutukutanisha lakini sijui ilikuwaje, lakini kutokana...
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Waziri mkuu Ethiopia:Niko tayari kukosolewa
Waziri mkuu nchini Ethiopia ameiambia BBC kwamba haogopi kukosolewa na waandishi licha ya sifa mbaya ya taifa hilo ya ukandamizaji uhuru wa kujieleza.
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Buhari: Niko tayari kushauriana na Boko Haram
Buhari amesema yuko tayari kushauriana na Boko Haram kuhusu kuachiliwa kwa wasichana 200 waliotekwa nyara karibu miaka miwili iliyopita.
9 years ago
Bongo515 Sep
Niko tayari kumzalia Nay Wa Mitego — Shamsa Ford
Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford amesema kuwa yuko tayari kubeba ujauzito wa mpenzi wake Nay Wa Mitego endapo wawili hao watakubaliana kupata mtoto. Baada ya kukiri kuwa kwenye uhusiano, Shamsa ambaye ni mama wa mtoto mmoja amesema hana tatizo kubeba ujauzito wa muimbaji huyo. Shamsa aliyasema hayo alipoulizwa na jarida la Baabkubwa kama yuko […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania