Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CAR tayari kwa mazungumzo na waasi

Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia amekubali kuzungumza na viongozi wa wapiganaji wanaohangaisha wananchi kwa misingi ya kidini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Sitta: Niko tayari kwa mazungumzo na Ukawa

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel SittaMWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema ofisi yake ipo tayari kwa mazungumzo na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), ikiwa ni njia ya kuwezesha mchakato wa kutunga Katiba kuendelea kwa pamoja na kwa amani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali na waasi kumaliza mazungumzo

Ethiopia inasema serikali na waasi wa Sudan kusini wamekubali kusitisha mapigano na kuunda serikali ya mpito katika siku 60 zijazo

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wasusia mazungumzo ya amani

Waasi wa Sudan Kusini wasema hawatashiriki katika awamu ya pili ya mazungumzo ya amani hadi wafungwa wote wa kisiasa watakapoachiliwa huru

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo:Waasi wapewa masharti Yemen

Waziri wa mashauri ya kigeni wa Yemen aliye uhamishoni ameiambia BBC kuwa serikali yake imejiandaa kwa mazungumza ya amani na waasi

 

10 years ago

BBCSwahili

Yemen:Serikali yapinga mazungumzo na waasi

Serikali ya Yemen iliyoko uhamishoni, haitakubali kufanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Houthi

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wapokonywa silaha CAR

Wanajeshi wa Ufaransa, wanatarajiwa kuanza kuwapokonya silaha wapiganaji katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa kutumia nguvu

 

11 years ago

BBCSwahili

CAR:Waasi wataka nchi kugawanywa

Waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR wamekataa makubaliano ya kusitsisha vita na kutaka taifa hilo ligawanywe.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wasitisha vita Bangui, CAR

Wapiganaji kutoka makundi hasimu, walikumbatiana katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui baada ya majeshi ya Ufaransa kuwapatanisha

 

11 years ago

BBCSwahili

Kasri yageuka kambi ya waasi CAR

Wapiganaji makurutu wamekuwa wakijificha katika iliyokuwa kasri ya mfalme Bokassa kutokana na vita CAR

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani