CAR tayari kwa mazungumzo na waasi
Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia amekubali kuzungumza na viongozi wa wapiganaji wanaohangaisha wananchi kwa misingi ya kidini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo19 Apr
Sitta: Niko tayari kwa mazungumzo na Ukawa
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema ofisi yake ipo tayari kwa mazungumzo na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), ikiwa ni njia ya kuwezesha mchakato wa kutunga Katiba kuendelea kwa pamoja na kwa amani.
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Serikali na waasi kumaliza mazungumzo
Ethiopia inasema serikali na waasi wa Sudan kusini wamekubali kusitisha mapigano na kuunda serikali ya mpito katika siku 60 zijazo
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Waasi wasusia mazungumzo ya amani
Waasi wa Sudan Kusini wasema hawatashiriki katika awamu ya pili ya mazungumzo ya amani hadi wafungwa wote wa kisiasa watakapoachiliwa huru
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Mazungumzo:Waasi wapewa masharti Yemen
Waziri wa mashauri ya kigeni wa Yemen aliye uhamishoni ameiambia BBC kuwa serikali yake imejiandaa kwa mazungumza ya amani na waasi
10 years ago
BBCSwahili19 May
Yemen:Serikali yapinga mazungumzo na waasi
Serikali ya Yemen iliyoko uhamishoni, haitakubali kufanya mazungumzo ya amani na wanamgambo wa Houthi
11 years ago
BBCSwahili09 Dec
Waasi wapokonywa silaha CAR
Wanajeshi wa Ufaransa, wanatarajiwa kuanza kuwapokonya silaha wapiganaji katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa kutumia nguvu
11 years ago
BBCSwahili26 Jul
CAR:Waasi wataka nchi kugawanywa
Waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR wamekataa makubaliano ya kusitsisha vita na kutaka taifa hilo ligawanywe.
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Waasi wasitisha vita Bangui, CAR
Wapiganaji kutoka makundi hasimu, walikumbatiana katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui baada ya majeshi ya Ufaransa kuwapatanisha
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Kasri yageuka kambi ya waasi CAR
Wapiganaji makurutu wamekuwa wakijificha katika iliyokuwa kasri ya mfalme Bokassa kutokana na vita CAR
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania