Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kasri yageuka kambi ya waasi CAR

Wapiganaji makurutu wamekuwa wakijificha katika iliyokuwa kasri ya mfalme Bokassa kutokana na vita CAR

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Waasi wachelewa kuondoka kambi Syria

Maelfu ya waasi waliotarajiwa kusaidiwa kuondoka kutoka kambi ya wakimbizi ya Yarmouk na maeneo ya karibu wameshindwa kuondoka kama ilivyotarajiwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wapokonywa silaha CAR

Wanajeshi wa Ufaransa, wanatarajiwa kuanza kuwapokonya silaha wapiganaji katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa kutumia nguvu

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wasitisha vita Bangui, CAR

Wapiganaji kutoka makundi hasimu, walikumbatiana katika mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bangui baada ya majeshi ya Ufaransa kuwapatanisha

 

11 years ago

BBCSwahili

CAR:Waasi wataka nchi kugawanywa

Waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR wamekataa makubaliano ya kusitsisha vita na kutaka taifa hilo ligawanywe.

 

11 years ago

BBCSwahili

CAR tayari kwa mazungumzo na waasi

Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia amekubali kuzungumza na viongozi wa wapiganaji wanaohangaisha wananchi kwa misingi ya kidini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waasi warejea kazini CAR

Wengi walioasi walikuwa Wakristo waliohofia kushambuliwa na wenzao waisilamu baada ya mapinduzi yaliyoongozwa na waasi wa Seleka.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watoto 163 waachiliwa na waasi CAR

Umoja wa Mataifa umesema kuwa watoto 163 wameachiliwa na makundi ya waasi nchini Jamuhuri ya Afrika ya Kati

 

10 years ago

BBCSwahili

Malkia kuhama kasri la Buckingham

Aliyekuwa katibu wa zamani wa habari za kifalme Dickie Arbiter amesema kuwa malkia Elizabeth wa Uingereza atahama kasri lake la Buckingham ili kutoa fursa kwa kazi ya kukarabati jengo hilo ambalo limeanza kuharibika.

 

9 years ago

BBCSwahili

50 Cent anajenga Kasri Afrika

Licha ya kuwasilisha ombi mahakamani akidai amefilisika mwimbaji wa kizazi kipya 50 Cent amechapisha video ya jumba la Kifahari Afrika

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani