Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malkia kuhama kasri la Buckingham

Aliyekuwa katibu wa zamani wa habari za kifalme Dickie Arbiter amesema kuwa malkia Elizabeth wa Uingereza atahama kasri lake la Buckingham ili kutoa fursa kwa kazi ya kukarabati jengo hilo ambalo limeanza kuharibika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Is Queen Elizabeth an MCU Fan? Here's Why the 'Avengers' Theme Played Outside Buckingham Palace

Is Queen Elizabeth an MCU Fan? Here's Why the 'Avengers' Theme Played Outside Buckingham Palace  Showbiz Cheat SheetCoronavirus: Queen Elizabeth II and Prince Philip moved amid virus fears | Nine News Australia  Nine News AustraliaCoronavirus: Princess Beatrice’s royal wedding in doubt due to virus  NEWS.com.auBuckingham Palace deny Queen fled London over coronavirus fears  Metro.co.ukQueen shifted out of Buckingham Palace amid COVID-19 crisis  Times of IndiaView Full coverage on Google...

 

9 years ago

BBCSwahili

50 Cent anajenga Kasri Afrika

Licha ya kuwasilisha ombi mahakamani akidai amefilisika mwimbaji wa kizazi kipya 50 Cent amechapisha video ya jumba la Kifahari Afrika

 

11 years ago

BBCSwahili

Kasri yageuka kambi ya waasi CAR

Wapiganaji makurutu wamekuwa wakijificha katika iliyokuwa kasri ya mfalme Bokassa kutokana na vita CAR

 

10 years ago

BBCSwahili

Risasi zasikika nje ya kasri la rais Burundi

Polisi wamefyatua risasi na mabomu ya kutoa machozi kwa waandamanaji waliokaribia makao ya rais katika mji mkuu wa Bujumbura.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wagoma kuhama kupisha barabara

WAKAZI wa kaya 30 wa mitaa ya Majanimapana na Nguvumali zinazotarajiwa kubomolewa makazi yao kupisha ujenzi wa barabara zimetangaza mgogoro na serikali kwa kugoma kuhama na kumtaka Rais Jakaya Kikwete...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenyeviti CCM watishia kuhama

WENYEVITI wa serikali za mitaa nane kati ya 11 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Morogoro wametishia kujitoa katika chama hicho endapo chama hicho hakitamuomba radhi Diwani wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Viongozi wazidi kuhama CCM

Chama-Cha-MapinduziSafina Sarwatt (Kilimanjaro) na Eliya Mbonea (Monduli)

IDADI ya viongozi wanaohama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kwenda Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imezidi kuongezeka na jana Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Paul Matemu pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa chama hicho, Fredrick Mushi, walitangaza kuchukua uamuzi huo, wakifuata nyayo za Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

Jana hiyo hiyo mabalozi 110 wa nyumba 10, makatibu wa tawi wanne, wajumbe...

 

11 years ago

BBCSwahili

Carles Puyol kuhama Barcelona

Nahodha wa Barcelona Carles Puyol ametangaza atawahama mabingwa hao wa Hispania

 

11 years ago

Habarileo

Wakazi Pugu watakiwa kuhama

WIKI moja baada ya gazeti hili kuandika kuhusu hatari ya kupata magonjwa, ikiwemo kipindupindu inayowakabili wakazi wanaoishi karibu na dampo la Pugu Kinyamwezi na hatua ya kula kwenye chandarua walioianzisha kupunguza kero ya inzi, uongozi wa Jiji la Dar es Salaam umezungumzia hali hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani