Malkia kuhama kasri la Buckingham
Aliyekuwa katibu wa zamani wa habari za kifalme Dickie Arbiter amesema kuwa malkia Elizabeth wa Uingereza atahama kasri lake la Buckingham ili kutoa fursa kwa kazi ya kukarabati jengo hilo ambalo limeanza kuharibika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Showbiz Cheat Sheet16 Mar
Is Queen Elizabeth an MCU Fan? Here's Why the 'Avengers' Theme Played Outside Buckingham Palace
9 years ago
BBCSwahili07 Sep
50 Cent anajenga Kasri Afrika
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Kasri yageuka kambi ya waasi CAR
10 years ago
BBCSwahili13 May
Risasi zasikika nje ya kasri la rais Burundi
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Wagoma kuhama kupisha barabara
WAKAZI wa kaya 30 wa mitaa ya Majanimapana na Nguvumali zinazotarajiwa kubomolewa makazi yao kupisha ujenzi wa barabara zimetangaza mgogoro na serikali kwa kugoma kuhama na kumtaka Rais Jakaya Kikwete...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Wenyeviti CCM watishia kuhama
WENYEVITI wa serikali za mitaa nane kati ya 11 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Morogoro wametishia kujitoa katika chama hicho endapo chama hicho hakitamuomba radhi Diwani wa...
9 years ago
Mtanzania15 Aug
Viongozi wazidi kuhama CCM
Safina Sarwatt (Kilimanjaro) na Eliya Mbonea (Monduli)
IDADI ya viongozi wanaohama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kwenda Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imezidi kuongezeka na jana Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Paul Matemu pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa chama hicho, Fredrick Mushi, walitangaza kuchukua uamuzi huo, wakifuata nyayo za Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.
Jana hiyo hiyo mabalozi 110 wa nyumba 10, makatibu wa tawi wanne, wajumbe...
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Carles Puyol kuhama Barcelona
11 years ago
Habarileo23 Mar
Wakazi Pugu watakiwa kuhama
WIKI moja baada ya gazeti hili kuandika kuhusu hatari ya kupata magonjwa, ikiwemo kipindupindu inayowakabili wakazi wanaoishi karibu na dampo la Pugu Kinyamwezi na hatua ya kula kwenye chandarua walioianzisha kupunguza kero ya inzi, uongozi wa Jiji la Dar es Salaam umezungumzia hali hiyo.