Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagoma kuhama kupisha barabara

WAKAZI wa kaya 30 wa mitaa ya Majanimapana na Nguvumali zinazotarajiwa kubomolewa makazi yao kupisha ujenzi wa barabara zimetangaza mgogoro na serikali kwa kugoma kuhama na kumtaka Rais Jakaya Kikwete...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wakazi kata ya Kurasini Dar wagoma kuhama Kupisha mradi wa maegesho

Wakazi wa kata ya Kurasini Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam wamegoma kuhama katika makazi yao kupisha mradi wa ujenzi wa maegesho ya magari makubwa.

Manispaa ya Temeke imetoa amri ya kuwataka wakazi wa maeneo hayo kuhama ndani ya muda wa saa 12 kuanzia Novemba 13, vinginevyo nyumba zao zitavunjwa.

wakazi wa Kurasini jijini Dar es Salaam, wamepaza kilio chao kupinga amri ya Manispaa ya Temeke kuwataka kuhama eneo hilo kupisha ujenzi wa maegesho ya magari makubwa.

Wakizungumza na Star...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wagoma kupisha mradi wa bwawa

WAKAZI wa vijiji vya Bwirachini na Kiburungo Kata ya Selembala Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini wamegoma kuondoka kwenye makazi yao kupisha mradi wa bwawa la kufua umeme la Kidunda...

 

10 years ago

Habarileo

Machinga wagoma kuhama Jangwani

WAFANYABIASHARA ndogo ndogo maarufu kama ‘machinga’, waliohamishia biashara zao katika eneo la Jangwani wanaendelea na ujenzi wa vibanda pamoja na agizo la serikali kusisitiza kuwa wanapaswa kuhama eneo hilo.

 

11 years ago

GPL

UBUNGO MATAA KUFUNGWA KUPISHA UJENZI WA BARABARA

Muonekano wa daraja Kituo cha mabasi Ubungo jijini Dar. KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag  inayojenga barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) imetangaza mabadiliko ya muda katika eneo la Ubungo jijini Dar es salaam kuanzia kesho na kesho kutwa usiku kutokana na ujenzi unaoendelea wa barabara. Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Bwana Yahya Mkumba,...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: SEHEMU YA BARABARA YA Ubungo Mataa Dar es salaam kufungwa kesho na keshokutwa usiku kupisha ujenzi

KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag International GmbH inayojenga barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) imetangaza mabadiliko ya muda katika eneo la Ubungo jijini Dar es salaam kuanzia kesho na keshokutwa usiku kutokana na ujenzi unaoendelea wa barabara. Akiongea na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam jana,Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Bwana Yahya Mkumba, alisema  kazi hiyo itahusu ujenzi katika makutano ya barabara za Morogoro, Sam Nujoma na Nelson Mandela katika...

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA YA MAGARI YAENDAYO KASI WAGOMA

Mwandishi wa Globaltv Online, Patrick Buzohera akiwa mbele ya ofisi ya Meneja mkuu wa kampuni hiyo akijaribu kuzungumza naye, lakini alishuhudia ofisi hiyo ikifungwa mlango na madirisha kabla hajafanya chochote.…

 

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

9 years ago

Mwananchi

Biashara zafungwa kupisha uchaguzi

Wafanyabiashara katika maeneo mbalimbali nchini, jana walifunga biashara zao kupisha Uchaguzi Mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani