Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Biashara zafungwa kupisha uchaguzi

Wafanyabiashara katika maeneo mbalimbali nchini, jana walifunga biashara zao kupisha Uchaguzi Mkuu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Biashara hii ya kura haifai kuitwa uchaguzi

KWA mara nyingine tena, tumeingia katika msimu wa uchaguzi, ambao utaendelea hadi mwishoni mwa mw

Jenerali Ulimwengu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wagoma kuhama kupisha barabara

WAKAZI wa kaya 30 wa mitaa ya Majanimapana na Nguvumali zinazotarajiwa kubomolewa makazi yao kupisha ujenzi wa barabara zimetangaza mgogoro na serikali kwa kugoma kuhama na kumtaka Rais Jakaya Kikwete...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wagoma kupisha mradi wa bwawa

WAKAZI wa vijiji vya Bwirachini na Kiburungo Kata ya Selembala Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini wamegoma kuondoka kwenye makazi yao kupisha mradi wa bwawa la kufua umeme la Kidunda...

 

9 years ago

BBCSwahili

Davies ajiuzuru kupisha uchunguzi

Afisa mwandamizi wa riadha Duniani,Nick Davies ameamua kujiuzuru kwa muda kupisha uchunguzi wa ndani kufuatia sakata la barua pepe i.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri ajiuzulu Ureno kupisha uchunguzi

Waziri wa mambo ya ndani wa Ureno amejiuzulu kupisha uchunguzi kuhusu tuhuma za rushwa

 

9 years ago

Mwananchi

Mikutano, maandamano kupisha Bunge Dodoma

Serikali mkoani Dodoma imesema amri ya kuzuia mikutano ya kisiasa na maandamano itaendelea wakati wa vikao vya Bunge la Kumi na Moja, katika hatua inayoonyesha kutaka kudhibiti chombo hicho kufanyiwa vurugu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ubungo Mataa kufungwa leo kupisha ujenzi

KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) imetangaza mabadiliko ya muda katika eneo la Ubungo kuanzia leo usiku kutokana na ujenzi unaoendelea. Akizungumza...

 

11 years ago

GPL

UBUNGO MATAA KUFUNGWA KUPISHA UJENZI WA BARABARA

Muonekano wa daraja Kituo cha mabasi Ubungo jijini Dar. KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag  inayojenga barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) imetangaza mabadiliko ya muda katika eneo la Ubungo jijini Dar es salaam kuanzia kesho na kesho kutwa usiku kutokana na ujenzi unaoendelea wa barabara. Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Bwana Yahya Mkumba,...

 

10 years ago

GPL

GHOROFA LAVUNJWA MBEZI KUPISHA MABOMBA YA DAWASCO

Sehemu ya ghorofa iliyobomolewa ili kupisha upitishaji wa bomba hilo. Mtaro ukipita karibu na ghorofa.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani