Mikutano, maandamano kupisha Bunge Dodoma
Serikali mkoani Dodoma imesema amri ya kuzuia mikutano ya kisiasa na maandamano itaendelea wakati wa vikao vya Bunge la Kumi na Moja, katika hatua inayoonyesha kutaka kudhibiti chombo hicho kufanyiwa vurugu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Polisi yazima maandamano ya Chadema Dodoma, ni ya kupinga kuendelea Bunge la Katiba
Jeshi la polisi mkoani Dodoma leo limezima maandamano yaliyopangwa kufanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupinga kuendelea kwa vikao vya Bunge la Katiba kwa kile wanachodai ni kufuja fedha za umma.
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Polisi yapiga marufuku maandamano, mikutano ya kisiasa nchini
Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano na mikutano ya vyama vya siasa iliyokuwa imepangwa kufanyika kwa nyakati tofauti kwa madai ya kuwepo na hali tete ya kisiasa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aTaFecdvwFo/XrY8cRyXQ9I/AAAAAAALphk/TlJusRIOz-QdXkkEQvgMxlFhXR_bhabUwCLcBGAsYHQ/s72-c/3de15645-5431-4ae8-a751-75738d17f5ee.jpg)
WANANCHI DODOMA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUPATA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR
Wananchi jijini Dodoma wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kupata fidia baada ya maeneo yao kuwekwa katika orodha ya maeneo yanayopitiwa na mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Morogoro – Dodoma – Singida katika Kata za Ihumwa, Mkonze na Kikuyu Kusini mkoani Dodoma, hivi karibuni Mei 2020.
Zoezi hilo linahusisha fidia za nyumba na viwanja, jumla ya wananchi 2,604 wanatarajiwa kulipwa fidia yenye thamani ya zaidi ya Shilingi...
Zoezi hilo linahusisha fidia za nyumba na viwanja, jumla ya wananchi 2,604 wanatarajiwa kulipwa fidia yenye thamani ya zaidi ya Shilingi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aTaFecdvwFo/XrY8cRyXQ9I/AAAAAAALphk/TlJusRIOz-QdXkkEQvgMxlFhXR_bhabUwCLcBGAsYHQ/s72-c/3de15645-5431-4ae8-a751-75738d17f5ee.jpg)
WANANCHI DODOMA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUPATA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR
Wananchi jijini Dodoma wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kupata fidia baada ya maeneo yao kuwekwa katika orodha ya maeneo yanayopitiwa na mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Morogoro – Dodoma – Singida katika Kata za Ihumwa, Mkonze na Kikuyu Kusini mkoani Dodoma, hivi karibuni Mei 2020.
Zoezi hilo linahusisha fidia za nyumba na viwanja, jumla ya wananchi 2,604 wanatarajiwa kulipwa fidia yenye thamani ya zaidi ya Shilingi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2hNp-EUbRWI/VVcAWGkPYRI/AAAAAAAHXi0/Mc7FZs7wjM8/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Ukumbi mpya wa mikutano wa CCM mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-2hNp-EUbRWI/VVcAWGkPYRI/AAAAAAAHXi0/Mc7FZs7wjM8/s640/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PPoubQmBvSI/VVcAWEBh1yI/AAAAAAAHXi8/_6hzT83UDzc/s640/unnamed%2B(40).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2hNp-EUbRWI/VVcAWGkPYRI/AAAAAAAHXi0/Mc7FZs7wjM8/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
PICHA: UKUMBI MPYA WA MIKUTANO WA CCM MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2hNp-EUbRWI/VVcAWGkPYRI/AAAAAAAHXi0/Mc7FZs7wjM8/s640/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PPoubQmBvSI/VVcAWEBh1yI/AAAAAAAHXi8/_6hzT83UDzc/s640/unnamed%2B(40).jpg)
10 years ago
MichuziRais Kikwete akagua ujenzi wa Mikutano wa Kimataifa wa Dodoma
Muonekano wa ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Dodoma.(picha na...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-MI4ePceVJks/VZ5ZYx3c4dI/AAAAAAAAgz8/ZoAqT2ViPGU/s640/1.jpg)
JK AZINDUA UKUMBI WA KISASA WA MIKUTANO WA CCM MJINI DODOMA
 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Dodoma mara baada ya kuwasili kwenye sherehe za uzinduzi wa jengo jipya la mikutano la CCM.  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiongoza sherehe fupi za uzinduzi wa jengo jipya la mikutano la CCM mjini Dodoma.  Mkurugenzi… ...
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Maofisa usalama wamwagwa mikutano ya kamati za Bunge
Ofisi ya Bunge la Katiba imeweka maofisa usalama katika kumbi zote zinazotumika kufanya vikao vya kamati.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania