UBUNGO MATAA KUFUNGWA KUPISHA UJENZI WA BARABARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UesLEJlagrA/U6K269L4PzI/AAAAAAAFrrQ/RWG18-x3Hcg/s1600/unnamed.gif)
Muonekano wa daraja Kituo cha mabasi Ubungo jijini Dar. KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) imetangaza mabadiliko ya muda katika eneo la Ubungo jijini Dar es salaam kuanzia kesho na kesho kutwa usiku kutokana na ujenzi unaoendelea wa barabara. Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Bwana Yahya Mkumba,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UesLEJlagrA/U6K269L4PzI/AAAAAAAFrrQ/RWG18-x3Hcg/s72-c/unnamed.gif)
NEWS ALERT: SEHEMU YA BARABARA YA Ubungo Mataa Dar es salaam kufungwa kesho na keshokutwa usiku kupisha ujenzi
![](http://1.bp.blogspot.com/-UesLEJlagrA/U6K269L4PzI/AAAAAAAFrrQ/RWG18-x3Hcg/s1600/unnamed.gif)
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Ubungo Mataa kufungwa leo kupisha ujenzi
KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) imetangaza mabadiliko ya muda katika eneo la Ubungo kuanzia leo usiku kutokana na ujenzi unaoendelea. Akizungumza...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W-AHJaIc-Ss/U7hCVGFK1XI/AAAAAAAFvLE/IqqrnMI0dZs/s72-c/9511fca93778835b9597a107b8378423.jpg)
11 years ago
Habarileo20 Jun
Barabara Ubungo kufungwa
KAMPUNI ya ujenzi ya Strabag International GmbH inayojenga barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (Dart) imetangaza kufungwa kwa baadhi ya njia katika eneo la taa za Ubungo, Dar es Salaam kuanzia leo usiku hadi keshokutwa kwa ajili ya kuruhusu ujenzi.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PjO1j1CN1Dw/VNVBe-LY4yI/AAAAAAAHCSs/yl-9r_zOuFg/s72-c/ub.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4sx_K5iTzTw/Xm9DUVMhYeI/AAAAAAAC8gw/2AouE5bmZVgwG87BydYxr1lGRT1jxavMwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA JUU UBUNGO NA BARABARA, AONGEA NA KUSIKIL|IZA KERO ZA WANANCHI MBEZI MWISHO, MLOGANZILA, MLANDIZI,CHALINZE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4sx_K5iTzTw/Xm9DUVMhYeI/AAAAAAAC8gw/2AouE5bmZVgwG87BydYxr1lGRT1jxavMwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CPPTFg0190Q/Xm9DUa7ZR7I/AAAAAAAC8g0/qD2088gCYhw20uVxkxjYtyBMCF-HjqHwgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MSps4ZB6XlM/Xm9DTtifBsI/AAAAAAAC8gs/B8MCzfAO41gxX-Z62qFvSMeSYP4BMU-WwCLcBGAsYHQ/s640/3...jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wEa9UhIk1_c/Xm9DVBx4lfI/AAAAAAAC8g4/hUwjLl8p0pslqFUZMtljMqxYf3paf4pFQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Wagoma kuhama kupisha barabara
WAKAZI wa kaya 30 wa mitaa ya Majanimapana na Nguvumali zinazotarajiwa kubomolewa makazi yao kupisha ujenzi wa barabara zimetangaza mgogoro na serikali kwa kugoma kuhama na kumtaka Rais Jakaya Kikwete...
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Walipwa fidia ya mil 263/- kupisha ujenzi wa chuo
Mkurugenzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania tawi la Singida, Hassanal Issaya akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake ya kila siku.
Na Nathaniel Limu, Singida
CHUO cha utumishi wa umma Tanzania tawi la mkoa wa Singida,limetumia shilingi 263 milioni kulipa fidia kwa wakazi wa kijiji cha Sasu kata ya Mungumaji manispaa ya Singida,ili waweze kupisha ujenzi wa chuo hicho mwaka wa fedha ujao.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa chuo hicho, Hassanal Issaya, wakati akizungumza na MOblog...