Davies ajiuzuru kupisha uchunguzi
Afisa mwandamizi wa riadha Duniani,Nick Davies ameamua kujiuzuru kwa muda kupisha uchunguzi wa ndani kufuatia sakata la barua pepe i.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Rais wa CONMEBOL ajiuzuru, uchunguzi wa kashfa ya rushwa juu yake waendelea
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Rais wa Shirikisho la Soka la Amerika Kusini (CONMEBOL), Juan Angel Napout (pichani) amejiuzulu nafasi yake ya urais huku uchunguzi ukiendelea kuhusu kuhusika na kashfa ya rushwa inayowakabili viongozi wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).
Katika taarifa iliyotolewa na CONMEBOL ilisema kuwa Napout amejiuzulu nafasi yake ya urais na nafasi yake kukaimiwa kwa muda na Wilmar Valdez ambaye kwa sasa ni rais wa Soka wa Chama cha Uruguay (AUF) mpaka uchaguzi washrikisho...
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Waziri ajiuzulu Ureno kupisha uchunguzi
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Katibu Mkuu Kiongozi amsimamisha kazi ndugu Maswi kupisha uchunguzi!
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Yohana Sefue, amemsimamisha kazi kwa muda Ndugu Eliakim Maswi (pichani), Katibu Mkuu ya Wizara ya Nishati na Madini, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake, kama ilivyoelekezwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Balozi Sefue amemsimamisha kazi Ndugu Maswi kuanzia leo, Jumanne, Desemba 23, 2014, kwa kutumia madaraka aliyonayo kama Mamlaka ya Nidhamu kwa Watumishi wa Umma wanaoteuliwa na Rais, wakiwemo...
10 years ago
CloudsFM18 Dec
KIFO CHA AISHA MADINDA KINA UTATA,MAZISHI YAAHIRISHWA KUPISHA UCHUNGUZI
Mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo,Aisha Madinda yameahirishwa hadi majibu ya uchunguzi yatakapofanyika na kutolewa na hospitali ya taifa ya Muhimbili, ilidaiwa Aisha Madinda aliyefariki jana mchana wakati akikimbizwa hospitalini, na kwa mujibu wa hospitali ya Mwananyamala mpaka anafikishwa hospitali na waliupima mwili na kugundua alikwisha fariki dunia. Clouds FM imezungumza na mtoto wa kwanza wa marehem aitwaye, Feisal Madinda alisema kuwa mazishi...
10 years ago
Vijimambo16 Dec
MWANASHERIA MKUU AJIUZURU
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.
Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema kuwa ameomba kujiuzulu kwa sababu ushauri wake kuhusiana na suala ya Akaunti ya Tegeta Escrow hakueleweka na umechafua hali ya hewa.
Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji...
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Waziri wa Ulinzi wa Marekani ajiuzuru
10 years ago
GPL
Yanga wataka Kaburu ajiuzuru
10 years ago
BBCSwahili28 May
Blair ajiuzuru ujumbe Quartet
10 years ago
BBCSwahili01 May
Ben Davies apasuliwa bega