Rais wa CONMEBOL ajiuzuru, uchunguzi wa kashfa ya rushwa juu yake waendelea
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Rais wa Shirikisho la Soka la Amerika Kusini (CONMEBOL), Juan Angel Napout (pichani) amejiuzulu nafasi yake ya urais huku uchunguzi ukiendelea kuhusu kuhusika na kashfa ya rushwa inayowakabili viongozi wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).
Katika taarifa iliyotolewa na CONMEBOL ilisema kuwa Napout amejiuzulu nafasi yake ya urais na nafasi yake kukaimiwa kwa muda na Wilmar Valdez ambaye kwa sasa ni rais wa Soka wa Chama cha Uruguay (AUF) mpaka uchaguzi washrikisho...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Davies ajiuzuru kupisha uchunguzi
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AMJULIA HALI MUADHAMA KADINALI POLYCARP PENGO ANAYEFANYIWA UCHUNGUZI WA AFYA YAKE MUHIMBILI
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Mbeki atajwa kashfa ya Rushwa
10 years ago
BBCSwahili28 May
Blatter azungumzia kashfa ya rushwa,Fifa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OJYzeoRU9A0/VQL0_RFAA1I/AAAAAAAHKGU/u9MrFpd22B0/s72-c/DSC_0621.jpg)
Polisi waendelea na uchunguzi dhidi ya Mlinzi wa Katibu Mkuu wa CHADEMA
Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linaendelea na uchunguzi dhidi ya Mlinzi wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Dk.Wilbrod Slaa anayedaiwa kufanya njama ya kumuua kwa sumu, Bw. Khalid Kagezi.
Akizungumza na waandishi wa habari leo,Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova amesema wamechukua maelezo kwa Katibu Mkuu Dk.Wilbrod Slaa pamoja na maelezo ya mlizi wake Khalid Kagezi.Kamishina Kova amesema...
9 years ago
StarTV24 Nov
Vigogo Blatter na Platin hatarini kufungiwa miaka 7 kwa  Kashfa Ya Rushwa Fifa
Ndoto za Rais wa Shirikisho la soka Barani Ulaya,Michel Platin kuwania kiti cha urais wa FIFA sasa zinaonekana kuota mbawa kutokana na kamati ya maadili ya chombo hicho kikubwa cha soka kushauri wafungiwe miaka saba pamoja na Sepp Blatter
Platin pamoja na Sepp Blatter wanaotumikia adhabu ya kusimamishwa siku 90 ndani ya FIFA,kamati hiyo imebaini wana kosa baada ya kupeana fedha paundi milioni 1.3 zenye mazingira ya rushwa.
Kamati maalum inayosikiliza shauri hilo na kutoa hukumu kabla ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-e-5vKoe8xhM/VjNYm5sJhzI/AAAAAAAAn9c/BPfrE3lefsw/s72-c/1.jpg)
AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-e-5vKoe8xhM/VjNYm5sJhzI/AAAAAAAAn9c/BPfrE3lefsw/s640/1.jpg)
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Mnyika ataka matokeo ya uchunguzi Ruvu Juu
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika, ameitaka Wizara ya Maji kuueleza umma juu ya matokeo ya uchunguzi wa kubaini kama tatizo linalojirudia kwenye mtambo wa maji wa Ruvu Juu ni masuala...
11 years ago
Michuzi06 Mar
Muungano wa Tanzania waendelea kuimarisha Ubora wa Elimu ya Juu
![](https://4.bp.blogspot.com/-0q25pJPduRY/UxdS_Wy6NpI/AAAAAAAANjg/kc5_KWsPtR8/s1600/IMG_3293.jpg)
Na Jovina Bujulu-Maelezo, Dodoma Ubora wa elimu ya juu umeendelea kuimarika kwa kiasi kikubwa kutokana na kuwepo kwa Taasisi za muungano kama Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Bi. Samia Suluhu Hassan wakati wa mahojiano na Afisa Habari wa Idara...