Blatter azungumzia kashfa ya rushwa,Fifa
Rais wa FIFA Sepp Blatter ameibuka na kuzungumzia kashafa ya rushwa ndani ya shirikisho hilo kwa kusema wale wao watakaobainika kujihusisha na vitendo hivyo hawana tena ndani ya shirikisho hilo la Soka Duniani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Nov
Vigogo Blatter na Platin hatarini kufungiwa miaka 7 kwa  Kashfa Ya Rushwa Fifa
Ndoto za Rais wa Shirikisho la soka Barani Ulaya,Michel Platin kuwania kiti cha urais wa FIFA sasa zinaonekana kuota mbawa kutokana na kamati ya maadili ya chombo hicho kikubwa cha soka kushauri wafungiwe miaka saba pamoja na Sepp Blatter
Platin pamoja na Sepp Blatter wanaotumikia adhabu ya kusimamishwa siku 90 ndani ya FIFA,kamati hiyo imebaini wana kosa baada ya kupeana fedha paundi milioni 1.3 zenye mazingira ya rushwa.
Kamati maalum inayosikiliza shauri hilo na kutoa hukumu kabla ya...
10 years ago
Africanjam.ComRAISI WA FIFA SEPP BLATTER AJIUZULU KUFUATIA KASHFA YA UFISADI
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amejiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.Akitangaza kujiuzulu,kwake Sepp Blatter mwenye umri wa miaka 79 ameitisha kikao cha dharura mara moja ili kumchagua rais mpya.Blatter alichaguliwa tena wiki iliopita licha ya maafisa wake saba wakuu kukamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi .
Lakini alisema kuwa mamlaka yake hayaungwi mkono na kila mtu. Shirikisho la FIFA lilikumbwa na mgogoro wa kukamatwa kwa maafisa wake...
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Mbeki atajwa kashfa ya Rushwa
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Kashfa ya tiketi yakumbwa FIFA
10 years ago
GPLBLATTER AJIUZULU FIFA
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Blatter kujiuzulu Fifa
10 years ago
BBCSwahili29 May
Blatter anawania Urais wa FIFA
10 years ago
BBCSwahili28 May
FIFA: Blatter asalia Kimya !
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Afrika na Blatter uraisi FIFA