Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afrika na Blatter uraisi FIFA

Afrika imesisitiza msimamo wake wa kumchagua Sepp Blatter katika nafasi ya urais katika uchaguzi wa FIFA.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Urais Fifa:Kuipenda Afrika kulivyomponza Blatter

Mwaka 1996, Shirikisho la Soka Afrika (Fifa), lilikuwa linaongozwa na raia wa England, Stanley Rous na mwaka huo England ndiyo ilitwaa ubingwa wa dunia.

 

10 years ago

Mwananchi

Blatter kujiuzulu Fifa

Zurich, Uswisi. Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter ametangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.

 

10 years ago

GPL

BLATTER AJIUZULU FIFA

Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter. Zurich, Uswis
RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter, jana alijiuzulu cheo chake kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.Blatter alitangaza kujiuzulu jana jioni zikiwa ni siku nne tangu alipochaguliwa kwa mara ya tano kuiongoza Fifa. Alitangaza uamuzi huo kwenye makao makuu wa Fifa mjini Zurich akiwa ametumikia cheo cha urais...

 

9 years ago

BBC

Blatter faces suspension by Fifa

Fifa president Sepp Blatter faces a 90-day provisional suspension after an investigation by the governing body's ethics committee.

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA:Blatter na Platini wachunguzwa

Rais wa FIFA Sepp Blatter na rais wa UEFA Michel Platini wanachunguzwa na kamati ya nidhamu ya FIFA

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA: Blatter asalia Kimya !

Rais wa FIFA Sepp Blatter kuonekana hadharani kwa mara ya kwanza tangu maafisa wakuu wa FIFA kukamatwa kufuatia tuhuma za ulaji rushwa

 

10 years ago

BBC

Fifa re-elects Blatter president

Fifa re-elects Sepp Blatter president as his rival withdraws after the first round of a vote overshadowed by allegations of corruption in world football.

 

9 years ago

Mtanzania

Hayatou amrithi Blatter Fifa

1162604_full-prtZURICH, USWISI

RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Issa Hayatou, ameteuliwa kuongoza Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kwa muda baada ya rais wa sasa, Sepp Blatter,kusimamishwa kazi.

Hayatou raia wa Cameroon, amefungua historia mpya barani Afrika kwa kiongozi wa soka barani humu kupata nafasi ya juu kuongoza shirikisho hilo.

Blatter alisimamishwa kazi juzi usiku na Kamati ya Maadili ya Fifa kwa siku 90 (miezi mitatu) sambamba na Katibu Mkuu, Jerome Valcke na Makamu wa Rais, Michel...

 

9 years ago

BBC

Blatter appeals against Fifa ban

Fifa president Sepp Blatter appeals against the decision to ban him while corruption allegations are investigated.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani