Kashfa ya tiketi yakumbwa FIFA
Polisi nchini Brazil wamemkamata afisa mkuu mtendaji wa kampuni mshirika wa FIFA kwa tuhuma za uuzaji tiketi za kombe la dunia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Timu ya raga yakumbwa na kashfa ya ubaguzi-AK
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Washukiwa wa kashfa ya tiketi matatani Brazil
10 years ago
BBCSwahili28 May
Blatter azungumzia kashfa ya rushwa,Fifa
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-5NjO-_VYVXo/VW3skJ7QijI/AAAAAAAAB4g/u7uMJuZpdSI/s72-c/CGFqQnjWMAA-3Wu.jpg)
RAISI WA FIFA SEPP BLATTER AJIUZULU KUFUATIA KASHFA YA UFISADI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5NjO-_VYVXo/VW3skJ7QijI/AAAAAAAAB4g/u7uMJuZpdSI/s400/CGFqQnjWMAA-3Wu.jpg)
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amejiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.Akitangaza kujiuzulu,kwake Sepp Blatter mwenye umri wa miaka 79 ameitisha kikao cha dharura mara moja ili kumchagua rais mpya.Blatter alichaguliwa tena wiki iliopita licha ya maafisa wake saba wakuu kukamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi .
![](http://1.bp.blogspot.com/-h7zsaeBgLMw/VW3retfdFmI/AAAAAAAAB4M/4VXz4CMEQe0/s640/CGGF8qHWIAAPXh4.jpg)
9 years ago
StarTV24 Nov
Vigogo Blatter na Platin hatarini kufungiwa miaka 7 kwa  Kashfa Ya Rushwa Fifa
Ndoto za Rais wa Shirikisho la soka Barani Ulaya,Michel Platin kuwania kiti cha urais wa FIFA sasa zinaonekana kuota mbawa kutokana na kamati ya maadili ya chombo hicho kikubwa cha soka kushauri wafungiwe miaka saba pamoja na Sepp Blatter
Platin pamoja na Sepp Blatter wanaotumikia adhabu ya kusimamishwa siku 90 ndani ya FIFA,kamati hiyo imebaini wana kosa baada ya kupeana fedha paundi milioni 1.3 zenye mazingira ya rushwa.
Kamati maalum inayosikiliza shauri hilo na kutoa hukumu kabla ya...
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Dar yakumbwa na kipindupindu
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
TZ: TAZARA yakumbwa na mgomo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NaifIncoRODgz0OkWCA*gWxCFwZpW1hFr*vkFDH8CP0Xz2d7Gd6koOcTiYQoYNli0heXdkKFJFcIRiVDQAzX5LcC/BACKAMANI.jpg?width=650)
FAMILIA YAKUMBWA NA MAUZAUZA
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Timu ya raga ya AK yakumbwa na utata