Waziri wa Ulinzi wa Marekani ajiuzuru
Waziri wa ulinzi nchini Marekani, Chuck Hagel,amejiuzuru nafasi yake hiyo akiwa ametumia muda wa chini ya miaka miwili kazini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b6jfYbb-5xM/XnEnh7bG34I/AAAAAAALkMs/UyopSxfXsGMn_rE_AWoS9iSeWvNpSARQwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7fc40bd380e1mb6q_800C450.jpg)
Waziri wa Ulinzi wa Marekani na naibu wake wawekwa karantini baada ya maafisa 37 wa Pentagon kupatwa na corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-b6jfYbb-5xM/XnEnh7bG34I/AAAAAAALkMs/UyopSxfXsGMn_rE_AWoS9iSeWvNpSARQwCLcBGAsYHQ/s640/4bv7fc40bd380e1mb6q_800C450.jpg)
Taarifa ilitotolewa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imesema kuwa, miongoni mwa maafisa wa wizara hiyo walioathirika na virusi vya corona wamo askari 18, suala ambalo limezidisha wasiwasi wa kusambaa zaidi virusi hivyo katika jeshi la Marekani.
Habari hii ya kuwekwa karantini Waziri wa Ulinzi wa...
10 years ago
MichuziKAMISHNA WA FORODHA NA ULINZI WA MIPAKA WA MAREKANI ATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Waziri wa ulinzi afutwa kazi CAR
Mawaziri 2 waliotuhumiwa kwa kuchochea mapigano yaliyosababisha vifo vya watu 40 mwezi uliopita katika jamhuri ya Afrika ya Kati wamefutwa kazi.
10 years ago
Mwananchi30 Apr
Dk Hussein Mwinyi, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Historia yake
Dk Hussein Mwinyi alizaliwa Desemba 23, 1966 huko Unguja, Zanzibar (Desemba mwaka huu atatimiza miaka 49). Dk Mwinyi ni mtoto wa Mzee Ali Hassan Mwinyi (Rais wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) na mama Sitti Mwinyi. Kwa sasa Dk Mwinyi ni Mbunge wa Kwahani Zanzibar na ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XkuHF6Qx4Y4/U7bd61FNjOI/AAAAAAAFu_M/0KtO3az3XDo/s72-c/unnamed+(19).jpg)
JK akutana na Waziri wa Ulinzi wa China Jenerali Chang Wanquan leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-XkuHF6Qx4Y4/U7bd61FNjOI/AAAAAAAFu_M/0KtO3az3XDo/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dLLbs6pHULc/U7bd63mxYoI/AAAAAAAFu_k/LIMF2IlC4ec/s1600/unnamed+(20).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sLsJii-TCFM/U7bd65M91oI/AAAAAAAFu_Q/bW_OGWxkK-s/s1600/unnamed+(21).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ewugURQQ55E/U7bd7gDjKDI/AAAAAAAFu_U/iuPhlxV5m80/s1600/unnamed+(22).jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI CHIKAWE ATUA KIGOMA, AKUTANA NA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA
10 years ago
Vijimambo16 Dec
MWANASHERIA MKUU AJIUZURU
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajiuzulu
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.
Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema kuwa ameomba kujiuzulu kwa sababu ushauri wake kuhusiana na suala ya Akaunti ya Tegeta Escrow hakueleweka na umechafua hali ya hewa.
Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji...
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.
Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema kuwa ameomba kujiuzulu kwa sababu ushauri wake kuhusiana na suala ya Akaunti ya Tegeta Escrow hakueleweka na umechafua hali ya hewa.
Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-XkuHF6Qx4Y4/U7bd61FNjOI/AAAAAAAFu_M/0KtO3az3XDo/s1600/unnamed+%2819%29.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI WA ULINZI WA CHINA JENERALI CHANG WANQUAN
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Waziri wa Ulinzi wa China na ujumbe wake Jenerali Chang Wanquan Ikulu jijini Dar es salaam.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika  mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa China Jenerali Chang Wanquan  Ikulu jijini Dar es salaam.…
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Davies ajiuzuru kupisha uchunguzi
Afisa mwandamizi wa riadha Duniani,Nick Davies ameamua kujiuzuru kwa muda kupisha uchunguzi wa ndani kufuatia sakata la barua pepe i.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania