Yanga wataka Kaburu ajiuzuru
![](http://api.ning.com:80/files/vu2giU6L5OcrLGoLwHZDe1nVNJV*XoscXRUTgNBk62xyeJRe87GaHBCcaIMpqjJ6Mtd2WKNCUqDyaBiCm2gyeof0YPxyA2Qw/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’. Mohammed Mdose na Khadija Mngwai Dar es Salaam KLABU ya Yanga imehoji juu ya uwepo wa kiongozi mmoja ndani ya Bodi ya Ligi huku akiwa na wadhifa mwingine kwenye klabu pamoja na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kusema kuwa hiyo ni moja ya kulifanya soka letu lizidi kudorora. Japo Yanga hawakumtaja moja kwa moja kiongozi huyo, lakini habari zinadai kuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Sep
Kipigo cha Yanga kinauma — Kaburu
MAKAMU wa Rais wa Simba, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ amesema kitendo cha timu yao kufungwa na Yanga juzi kimewaumiza, lakini hakiwarudishi nyuma, wanachukulia ni sehemu ya mchezo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ov_z2YnkL4k/VDtZAMPZmUI/AAAAAAAAnmY/gypLLHhBxCo/s72-c/M2.jpg)
KABURU NA BINDA WAWAONGOZA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KATIKA NANI MTANI JEMBE JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ov_z2YnkL4k/VDtZAMPZmUI/AAAAAAAAnmY/gypLLHhBxCo/s1600/M2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cLdj2CMUlLM/VDtY_wi12pI/AAAAAAAAnmU/ZZF86DFiYXM/s1600/M%2B1%2B(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yEJrYSNiyJQ/VDtY_wjYKvI/AAAAAAAAnm8/GTtJR5Bx2dE/s1600/M%2B3%2B(2).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BMMZfbpDdsU/VL6O35ODVOI/AAAAAAAA90k/Jcp5bLQsVBk/s72-c/jerry-muro-massawe.png)
YANGA SASA WATAKA WANAJESHI WACHEZE LIGI KUU YAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-BMMZfbpDdsU/VL6O35ODVOI/AAAAAAAA90k/Jcp5bLQsVBk/s640/jerry-muro-massawe.png)
![](http://api.ning.com/files/fl5zqutucocjblfg2ZjPIc*0h8ZirarCBHfHAMBIJyfIgg38z8OExzlvg360LqBpdGQ9FZBv6h6BSgn4N21jqME5VZcnt85Y/tambwe.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/fl5zqutucocMb8NkJdWTOwC1uQYGIcBoIpHGpS3ZTASu4qDKQLAJZ47YPLKzgVMqX4L2zJxcTMLGkw2fya462Q6S-5LKez22/1.jpg?width=750)
10 years ago
Vijimambo16 Dec
MWANASHERIA MKUU AJIUZURU
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.
Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema kuwa ameomba kujiuzulu kwa sababu ushauri wake kuhusiana na suala ya Akaunti ya Tegeta Escrow hakueleweka na umechafua hali ya hewa.
Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji...
10 years ago
BBCSwahili28 May
Blair ajiuzuru ujumbe Quartet
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Davies ajiuzuru kupisha uchunguzi
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Waziri wa Ulinzi wa Marekani ajiuzuru
11 years ago
Mwananchi23 May
Wambura, Kaburu kitanzini
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kaburu ampinga kocha Mzungu