Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaburu ampinga kocha Mzungu

Kinyume na vitisho vya kocha mpya wa Simba, Goran Kopunovic aliyemtaka mshambuliaji wake Emmanuel Okwi awe amewasili kwenye mazoezi ya klabu hiyo saa 24 vinginevyo ataadhibiwa, uongozi wa klabu hiyo umemkingia kifua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kocha Mzungu atua Majimaji

Dar es Salaam. Klabu ya Majimaji ya Songea imejiunga na klabu nyingine za Ligi Kuu kuajiri kocha kutoka nje ya Afrika.

 

11 years ago

GPL

Mzungu wa Ghana kocha mpya Yanga

Hans Van der Pluijm. Na Mwandishi Wetu
KOCHA mzungu anayefundisha soka nchini Ghana ndiye atakuwa kocha mpya wa Yanga.Hadi jana usiku Yanga ilikuwa ikifanya mazungumzo na makocha wawili yule wa Berekum Chelsea ambaye anajulikana kwa jina la Hans Van der Pluijm na mwingine wa Berekum Arsenal na hukohuko Ghana ambaye hakutajwa jina.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pinda ampinga Kikwete

SIKU chache baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha kwa mbinde katiba inayopendekezwa, Tanzania Daima Jumapili, limedokezwa kuwapo kwa mpasuko mpya ndani ya Chama. Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali. Mpasuko...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nel ampinga Maringa kesi ya Pistorius

Idara ya kurekebisha tabia nchini Afrika Kusini inataka Oscar Pistorius apewe kifungo cha nyumbani badala ya kifungo jela.

 

11 years ago

Mwananchi

Ridhiwani ampinga Manji kuongezewa muda Jangwani

Mwanachama wa Yanga na Mwenyekiti wa Ujenzi wa Jengo la Mafia, Ridhiwani Kikwete amepinga kitendo cha Mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuph Manji na wenzake kuongezewa muda wa uongozi wa mwaka mmoja.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi ampinga meya eneo la shule kuwa makaburi

Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Mussa Nzugiza amesema, hatakubali kushiriki mpango wa kumega eneo la Sekondari ya Mbeya kutumika kwa ajili ya makaburi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wambura, Kaburu kitanzini

>Michael Wambura na Geofrey Nyange ‘Kaburu’ pamoja na wagombea  wa ujumbe wa kamati ya utendaji ya Simba wamewekewa pingamizi la kuwania uongozi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaburu: Nitafuta makundi Simba

MGOMBEA wa nafasi ya makamu wa rais wa Simba ya jijini Dar es Salaam, Geofrey Nyange ‘Kaburu’, amezindua kampeni zake kwa kuwataka wanachama wa klabu hiyo kumpa ridhaa ya kushika...

 

10 years ago

GPL

Yanga wataka Kaburu ajiuzuru

Makamu wa Rais wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’. Mohammed Mdose na Khadija Mngwai
Dar es Salaam
KLABU ya Yanga imehoji juu ya uwepo wa kiongozi mmoja ndani ya Bodi ya Ligi huku akiwa na wadhifa mwingine kwenye klabu pamoja na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kusema kuwa hiyo ni moja ya kulifanya soka letu lizidi kudorora. Japo Yanga hawakumtaja moja kwa moja  kiongozi huyo, lakini habari zinadai kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani