Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda ampinga Kikwete

SIKU chache baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha kwa mbinde katiba inayopendekezwa, Tanzania Daima Jumapili, limedokezwa kuwapo kwa mpasuko mpya ndani ya Chama. Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali. Mpasuko...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kaburu ampinga kocha Mzungu

Kinyume na vitisho vya kocha mpya wa Simba, Goran Kopunovic aliyemtaka mshambuliaji wake Emmanuel Okwi awe amewasili kwenye mazoezi ya klabu hiyo saa 24 vinginevyo ataadhibiwa, uongozi wa klabu hiyo umemkingia kifua.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nel ampinga Maringa kesi ya Pistorius

Idara ya kurekebisha tabia nchini Afrika Kusini inataka Oscar Pistorius apewe kifungo cha nyumbani badala ya kifungo jela.

 

11 years ago

Mwananchi

Ridhiwani ampinga Manji kuongezewa muda Jangwani

Mwanachama wa Yanga na Mwenyekiti wa Ujenzi wa Jengo la Mafia, Ridhiwani Kikwete amepinga kitendo cha Mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuph Manji na wenzake kuongezewa muda wa uongozi wa mwaka mmoja.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi ampinga meya eneo la shule kuwa makaburi

Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Mussa Nzugiza amesema, hatakubali kushiriki mpango wa kumega eneo la Sekondari ya Mbeya kutumika kwa ajili ya makaburi.

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete ashauriwa amng’oe Pinda

Rais Jakaya Kikwete, ameshauriwa kumng’oa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ikielezwa sababu kuwa ndiye kikwazo katika utendaji wa Serikali na kwamba akiachwa ataipeleka pabaya Serikali na CCM

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete mnyonge, Pinda kachoka

KAMPENI za Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwaka 2005, zilitawaliwa na vituko lukuki, miongoni mwa vituko hivyo ni viongozi wa dini walipoamua kumfanyia kampeni Rais Jakaya Kikwete, kwa kumuita ni ‘Chaguo la...

 

11 years ago

IPPmedia

President Kikwete, PM Pinda to grace first Education week


IPPmedia
President Kikwete, PM Pinda to grace first Education week
IPPmedia
Tanzania will hold its first 'Education week' celebrations this year which will be officially opened by Prime Minister Mizengo Pinda on May 04 in Dodoma and closed by President Jakaya Kikwete on May 10. Sums to the tune of 500m/- have been set aside for ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Pinda amwakilisha Rais Kikwete kwenye mjadala wa uwekezaji Afrika- London

PG4A6255

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza kwenye mjadala  kuhusu fursa za uwekezaji  barani Afrika kwenye hoteli ya Savoyy , London, Oktoba 20/10/14.Wengine pichani ni Rais Yoweri Museveni wa Uganda Rais wa Gahana,John Mahama na Rais wa Rwanda Paul Kagame. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A6276

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Thabit Mwambungu (kulia) na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter Kallage  Wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza kwenye mjadala  kuhusu fursa za uwekezaji ...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AWASILI JIJINI NAIROBI KUMWAKILISHA RAIS KIKWETE KWENYE MKUTANO WA MAZIWA MAKUU

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na Seneta wa Kirinyaga, Daniel Dickson Karaba baada ya kuwasili wenye uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta nchini Kenya Julai 23, 2014 kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika mkutano maalum wa nchi za maziwa makuu kuhusu kupambana na tatizo la ajira kwa vijana unaotarajiwa kufanyiaka Julai 24, 2014.Katikati ni Balozi wa Tanzania nchini Kenya,Mh. Batilda - Sarha BurhanWaziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na baadhi ya watumishi wa ubalozi wa Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani