Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete ashauriwa amng’oe Pinda

Rais Jakaya Kikwete, ameshauriwa kumng’oa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ikielezwa sababu kuwa ndiye kikwazo katika utendaji wa Serikali na kwamba akiachwa ataipeleka pabaya Serikali na CCM

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Rais Kikwete ashauriwa kutafuta suluhu Zanzibari

 

Baadhi ya Vyama vya Siasa kutoka Upinzani vimemshauri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutafuta suluhisho kuhusu sintofahamu ya Uchaguzi wa Zanzibar  ili kuwahakikishia Wazanzibar imani kwa mustakabari wa maendeleo ya Taifa.

Wamesema pamoja na Rais Kikwete kubakiza siku chache za uongozi bado ana nafasi  kubwa ya kuhakikisha  Wazanzibar wanakuwa na Rais wao kwa njia ya amani na Demokrasia.

 Zikiwa zimepita siku tangu Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kufuta matokeo ya urais, Madiwani...

 

11 years ago

Dewji Blog

DC Muheza ashauriwa na wananchi

DSC09680

Pichani ni Mkuu wa Wilaya ya Muheza, Subira Mgalu.

Na Mwandishi wetu

Wakazi wa kijiji cha Kicheba, Muheza, Tanga wamemuomba Mkuu wa Wilaya hiyo, Subira Mgalu, kuwa makini na viongozi wa kijiji hicho, kwani wanaweza kumgombanisha nao kwa ajili ya malengo yao binafsi.

Mmoja wa wakazi hao, ambaye hakupenda jina lake liandikwe kwenye mtandao wetu, alisema viongozi wa kijiji hicho, wamekuwa wakitekeleza majukumu yao vibaya huku wakidai kuwa hayo ni maagizo kutoka wailayani.

Alisema hivi karibuni...

 

9 years ago

Bongo Movies

Irene Uwoya Ashauriwa Aachane na Siasa

Baada ya Irene Uwoya kushindwa kupata nafasi ya vitu maalumu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) baadhi ya mashabiki wa ukurasa wa facebook wa EATV wamemshauri msanii huyo kuachana na masuala ya siasa na kurudi katika tasnia ya filamu.

na kuendelea na kazi yake hiyo ya sanaa ambayo imempa jina kubwa na heshima zaidi.

Mashabiki hao wamepokea tofauti taarifa ya kukatwa kwa jina la Irene Uwoya katika katika vitu maalumu, wapo ambao wameonyesha kuguswa na kuumia Irene Uwoya kushindwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli ashauriwa kufumua mfumo wa elimu

Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Dk John Magufuli, imeshauriwa kufumua mfumo wa elimu nchini kisha uchambuliwe na kuusuka upya ili kuleta tija kwa walengwa.     

 

9 years ago

StarTV

Rais Magufuli ashauriwa kuwapa kipaumbele wanawake

Wanaharakati wa kutetea haki za wanawake nchini wamemshauri Rais John Magufuli kutekeleza ahadi zake kwa vitendo ikiwemo kuteua wanawake zaidi katika nafasi za juu za uongozi.

Wanaharakati hao wamemsisitiza Rais Magufuli kuunda Baraza la Mawaziri lenye sura za usawa wa kijinsia ili kuondoa mfumo dume katika uamuzi.

 Wakati Bunge la 11 likitarajiwa kuanza Novemba 17 mwaka huu, wananchi wamekuwa na mtazamo tofauti kuhusu baraza jipya la mawaziri, ambapo wanaharakati wa kutetea haki za wanawake...

 

11 years ago

BBCSwahili

Suarez amng'ata Chiellini

Mshambulizi wa Uruguay Luiz Suarez amemng'ata mlinzi wa Italia Giorgio Cheillini katika mechi ya mwisho wa kundi D

 

9 years ago

Bongo5

Kim Kardashian ashauriwa na madaktari asizae mtoto wa tatu!

1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom

Kuna uwezekano Kanye West na Kim Kardashian wasipate mtoto mwingine wa tatu kutokana na madaktari kumshauri Kim asibebe ujauzito mwingine.

1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom

Kwa mujibu wa TMZ, madaktari wamemshauri Kim K kutoongeza mtoto mwingine tena kutokana na kupata tatizo linalofahamika kwa kitaalam kama ‘placenta accreta’.

Ushauri huo umetolewa baada kupata matatizo wakati wa kujifungua watoto wake wawili North na Saint. Wamesema akipata ujauzito mwingine kwa sasa ni kuhatarisha maisha yake pamoja na mtoto.

Chanzo cha...

 

11 years ago

Mtanzania

Mtuhumiwa amng’ata mdomo askari

Dar es Salaam

Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam

Na Faraja Masinde, Dar es Salaam

KARANI wa Kampuni ya Mabasi ya abiria yaitwayo Happy African, Eliud Mwanyonga (40), amemng’ata mdomo askari wa kikundi cha ulinzi shirikishi aliyefahamika kwa jina moja la Ernest.

Tukio hilo lilitokea Ijumaa iliyopita saa 12 alfajiri katika Kituo cha Mabasi yaendayo mikoani wakati askari huyo alipokuwa katika shughuli zake za kila siku.

Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo, James Zebedayo, aliliambia MTANZANIA Jumatatu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shabiki amng'ata mwenziwe Kenya

Mwanamume mmoja mjini Kisumu magharibi mwa Kenya, alimng'ata sikio jirani yake baada ya mechi ya soka ya ligi ya uingereza iliyokuwa na matokeo yasiyo ya kuridhisha kwa mmoja wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani