DC Muheza ashauriwa na wananchi
Pichani ni Mkuu wa Wilaya ya Muheza, Subira Mgalu.
Na Mwandishi wetu
Wakazi wa kijiji cha Kicheba, Muheza, Tanga wamemuomba Mkuu wa Wilaya hiyo, Subira Mgalu, kuwa makini na viongozi wa kijiji hicho, kwani wanaweza kumgombanisha nao kwa ajili ya malengo yao binafsi.
Mmoja wa wakazi hao, ambaye hakupenda jina lake liandikwe kwenye mtandao wetu, alisema viongozi wa kijiji hicho, wamekuwa wakitekeleza majukumu yao vibaya huku wakidai kuwa hayo ni maagizo kutoka wailayani.
Alisema hivi karibuni...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCspPyS2RK14dc9EEenJP0Yp789XxZ1Pb8l60jlCahGL6ed1v70NzVtM9-wu9ujwFE4Wv9yUB5WA*V8*TUwkiaEX/Mtangii.jpg?width=650)
MUHEZA WANANCHI: AHADI NYINGI ZA MBUNGE NI HEWA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QeogInHNLeY/UzQnhvB9cCI/AAAAAAAFWzM/vdyv3Rrwa7k/s72-c/unnamed+(44).jpg)
JK AONGEA NA WANANCHI WILAYANI MUHEZA, AHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI MKOA WA TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QeogInHNLeY/UzQnhvB9cCI/AAAAAAAFWzM/vdyv3Rrwa7k/s1600/unnamed+(44).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OmVoQC6vCfE/UzQpJzgq_OI/AAAAAAAFWzY/l-dlVt-788o/s1600/unnamed+(46).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s72-c/namba%2B9.jpg)
WANANCHI WA MUHEZA WAHAMASIKA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII, ZAIDI YA KAYA 65 ZENYE WANACHAMA 390 WAHAMASIKA NA KUJIUNGA PAPO HAPO
![](http://4.bp.blogspot.com/-8HH4usEZH8Y/VGHrVap9NQI/AAAAAAACujw/wA4AXd7MWcg/s1600/namba%2B9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PsIGIFeup4Q/VGHrcV5VOiI/AAAAAAACukU/gFb9qIJCKlI/s1600/picha%2Bnamba%2B1.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Kikwete ashauriwa amng’oe Pinda
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Dk Magufuli ashauriwa kufumua mfumo wa elimu
9 years ago
Bongo Movies13 Nov
Irene Uwoya Ashauriwa Aachane na Siasa
Baada ya Irene Uwoya kushindwa kupata nafasi ya vitu maalumu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) baadhi ya mashabiki wa ukurasa wa facebook wa EATV wamemshauri msanii huyo kuachana na masuala ya siasa na kurudi katika tasnia ya filamu.
na kuendelea na kazi yake hiyo ya sanaa ambayo imempa jina kubwa na heshima zaidi.
Mashabiki hao wamepokea tofauti taarifa ya kukatwa kwa jina la Irene Uwoya katika katika vitu maalumu, wapo ambao wameonyesha kuguswa na kuumia Irene Uwoya kushindwa...
9 years ago
StarTV11 Nov
Rais Magufuli ashauriwa kuwapa kipaumbele wanawake
Wanaharakati wa kutetea haki za wanawake nchini wamemshauri Rais John Magufuli kutekeleza ahadi zake kwa vitendo ikiwemo kuteua wanawake zaidi katika nafasi za juu za uongozi.
Wanaharakati hao wamemsisitiza Rais Magufuli kuunda Baraza la Mawaziri lenye sura za usawa wa kijinsia ili kuondoa mfumo dume katika uamuzi.
Wakati Bunge la 11 likitarajiwa kuanza Novemba 17 mwaka huu, wananchi wamekuwa na mtazamo tofauti kuhusu baraza jipya la mawaziri, ambapo wanaharakati wa kutetea haki za wanawake...
9 years ago
StarTV04 Nov
Rais Kikwete ashauriwa kutafuta suluhu Zanzibari
Baadhi ya Vyama vya Siasa kutoka Upinzani vimemshauri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutafuta suluhisho kuhusu sintofahamu ya Uchaguzi wa Zanzibar ili kuwahakikishia Wazanzibar imani kwa mustakabari wa maendeleo ya Taifa.
Wamesema pamoja na Rais Kikwete kubakiza siku chache za uongozi bado ana nafasi kubwa ya kuhakikisha Wazanzibar wanakuwa na Rais wao kwa njia ya amani na Demokrasia.
Zikiwa zimepita siku tangu Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kufuta matokeo ya urais, Madiwani...
9 years ago
Bongo516 Dec
Kim Kardashian ashauriwa na madaktari asizae mtoto wa tatu!
![1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom-300x194.jpg)
Kuna uwezekano Kanye West na Kim Kardashian wasipate mtoto mwingine wa tatu kutokana na madaktari kumshauri Kim asibebe ujauzito mwingine.
Kwa mujibu wa TMZ, madaktari wamemshauri Kim K kutoongeza mtoto mwingine tena kutokana na kupata tatizo linalofahamika kwa kitaalam kama ‘placenta accreta’.
Ushauri huo umetolewa baada kupata matatizo wakati wa kujifungua watoto wake wawili North na Saint. Wamesema akipata ujauzito mwingine kwa sasa ni kuhatarisha maisha yake pamoja na mtoto.
Chanzo cha...