JK AONGEA NA WANANCHI WILAYANI MUHEZA, AHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI MKOA WA TANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-QeogInHNLeY/UzQnhvB9cCI/AAAAAAAFWzM/vdyv3Rrwa7k/s72-c/unnamed+(44).jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Mkutano wa hadhara mjini Muheza jana jioni. Rais Kikwete anatarajia kuhitimisha ziara yake ya kikazi mkoani Tanga leo. Picha na Freddy Maro.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mtoto Hassan Mustafa(13) mwenye tatizo la kudumaa muda mfupi baada ya Rais Kikwete kukagua na kuzindua maabara katika shule ya sekondari ya Potwe, wilayani Muheza
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GfRGzYtHJZU/VW_jb6lgQLI/AAAAAAAHb10/mQ8_IXRpPeY/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Mh. Samia Suluhu aendelea na ziara ya kukagua shughuli za utunzaji wa mazingira wilayani Muheza, Tanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-GfRGzYtHJZU/VW_jb6lgQLI/AAAAAAAHb10/mQ8_IXRpPeY/s640/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-E-7OdjHoYD8/VW_jchgOdzI/AAAAAAAHb18/cbKfqTIilHU/s640/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5SYuKLMNKFwA0VhkEa61nHKkM4SVqRElS4ePQnAwwKb6-iqXl-8jixdNKJ3-WDQxEiJpchZoWotSrTJ1U6us*NFQ4hE31hQk/yanga1.jpg?width=650)
YANGA YAZINDUA TAWI JIPYA WILAYANI MUHEZA, TANGA
Mashabiki wa Yanga wakiwa katika uzinduzi wa tawi lao wilayani Muheza, Tanga.…
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Sl1cV7R1XlY/VL1C4Bg_ExI/AAAAAAAG-WE/BMehwqhRXkY/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
PROFESA MWANDOSYA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA KIKAZI NCHINI SUDAN
Kabla ya kuhitimisha ziara yake nchini Sudan,Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Profesa MArk Mwandosya alipata nafasi ya kuwa na mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Sudan,Mheshimiwa Ali Osman Mohammed Taha;kutembelea nyumba ya makumbusho ya Sudan;na kutembelea jengo la kumbukumbu la shujaa wa Sudan,al Mahdi.
Waziri Mwandosya,kushoto,akimkabidhi Mheshimiwa Ali Osman Mohammed Taha,Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu,zawadi ya kinyago kutoka Tanzania.![](http://3.bp.blogspot.com/-Uhz4nxGXQlE/VL1C4M1ahlI/AAAAAAAG-WI/d_46uhrMjSU/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
Walio mstari...
![](http://2.bp.blogspot.com/-Sl1cV7R1XlY/VL1C4Bg_ExI/AAAAAAAG-WE/BMehwqhRXkY/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Uhz4nxGXQlE/VL1C4M1ahlI/AAAAAAAG-WI/d_46uhrMjSU/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
Walio mstari...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DmuJcS3HXhk/VX5IGzsdJjI/AAAAAAAC6oQ/eTvH-CUJkGo/s72-c/70.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOA WA KAGERA,LEO KUVAMIA MKOA WA GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DmuJcS3HXhk/VX5IGzsdJjI/AAAAAAAC6oQ/eTvH-CUJkGo/s640/70.jpg)
Katibu Mkuuu wa CCM Abdulrahman Kinana amehitimisha ziara yake hiyo ya kukagua...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U7XwKbp4ikE/UzM771rcUPI/AAAAAAAFWto/h-Fhr48uwFY/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi ahitimisha Ziara ya kikazi ya siku mbili kukagua mradi wa bomba la gesi aasilia
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Serikali imesema utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirishia gesi asilia kutoka Mtwara hadi Dar es salaam unaenda vizuri kulingana na ratiba yake na utakamilika kwa wakati.
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue alipotembelea kituo cha kufua umeme kwa kutumia gesi asilia kinachojengwa Kinyerezi wakati akihitimisha ziara yake ya siku mbili ya kukagua mradi wa ujenzi wa bomba la gesi jijini Dar es salaam.
Balozi Sefue alisema...
10 years ago
MichuziWZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE WILAYANI MPANDA
10 years ago
GPLWAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE WILAYANI MPANDA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na viongozi wa mkoa wa Katavi kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda baada ya ziara yake ya jimbo la uchaguzi. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Pazi Mwamlima, Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi, Mhandisi Emmanuel Kalobelo na Mkuu wa Wilaya ya Mlele, Kanali Ngemera Lugunga. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiangalia msokoto wa rasta… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania