Kim Kardashian ashauriwa na madaktari asizae mtoto wa tatu!
Kuna uwezekano Kanye West na Kim Kardashian wasipate mtoto mwingine wa tatu kutokana na madaktari kumshauri Kim asibebe ujauzito mwingine.
Kwa mujibu wa TMZ, madaktari wamemshauri Kim K kutoongeza mtoto mwingine tena kutokana na kupata tatizo linalofahamika kwa kitaalam kama ‘placenta accreta’.
Ushauri huo umetolewa baada kupata matatizo wakati wa kujifungua watoto wake wawili North na Saint. Wamesema akipata ujauzito mwingine kwa sasa ni kuhatarisha maisha yake pamoja na mtoto.
Chanzo cha...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc7IVSptGEd9IYmP4kbBmlaQNKPcRkSyGwtuV61sLZmJsU4USW9EsSb5f0Z8KDH5sM3qpoZxuS3co29BhF3rtAHB/kimkardashian2014photo.jpg?width=650)
MADAKTARI WAMTAHADHARISHA KIM KARDASHIAN KUPUNGUZA KUFANYA MAPENZI
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Mtoto mpya amtesa Kim Kardashian
9 years ago
Bongo506 Dec
Kanye West na Kim Kardashian wapata mtoto wa kiume
![kim na kanye](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kim-na-kanye-300x194.jpg)
Hatimaye mke wa rapa Kanye West, Kim Kardashian amejifungua mtoto wao wa pili, wa kiume siku ya Jumamosi Asubuhi (Dec .5).
Kim aliandika taarifa ya kujifungua kupitia website yake. “Kim Kardashian West and Kanye West welcomed the arrival of their son this morning. Mother and son are doing well,” ulisomeka ujumbe huo.
He's here! https://t.co/KlWQrG3Ri9 pic.twitter.com/NRLQCeQ5H4
— Kim Kardashian West (@KimKardashian) December 5, 2015
Mpaka sasa Kim na Kanye bado hawajasema jina la mtoto...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwrayJK9AxHWEQMCsvorNSzoxdr1ljs*M8ZkpLECxck7-VuzPo7zIkCV8sHgG1w15ehn7jAAj6K0wDkiRJ6obMQg/Urukundo_rwa_kanye_na_kim.jpg?width=650)
KIM KARDASHIAN AFICHUA NI MJAMZITO, KUZAA MTOTO WA PILI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4bIsJDjFjL6mMEhQGbGmAElstuN6ZaDrqwE40vFMglaSCq3bAXoU7vRyT8W7YiftoKi-LSTxQZwScZ8BbDjFwluyYfj*1Ux1/kimk.jpg?width=600)
‘BABY SHOWER’ YA MTOTO WA KIM KARDASHIAN YAFANA!
9 years ago
Bongo508 Dec
Kanye West na Kim Kardashian watoa jina la mtoto wao wa kiume
![kanye and kim](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kanye-and-kim-300x194.jpg)
Baada ya ubashiri wa watu wengi juu ya jina atakalopewa mtoto wa pili wa mastaa Kanye West na mkewe Kim Kardashian West, hatimaye wazazi wake wametoa jina.
Mtoto wao wa kiume aliyezaliwa siku ya Jumamosi asubuhi wamemuita ‘SAINT WEST’, unalionaje?
Kim K ameshare na ulimwengu jina la baby brother wa North West kupitia website yake kwa kuandika, “To our fans. Saint West. 12.05.15. 8 pounds, 1 ounce.” Na kwenye page yake ya Instagram alipost emoji za watu wanne, baba, mama, na watoto wawili...
9 years ago
Bongo530 Sep
Kim Kardashian anatarajia kujifungua mtoto wake wa pili siku ya Christmas
9 years ago
Bongo501 Dec
Kanye West na Kim Kardashian bado wanahaha kutafuta jina la mtoto wao ajaye
![1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom-300x194.jpg)
Muda wa kumpokea mtoto wa pili umekaribia lakini Kim Kardashian na Kanye West wanadaiwa hadi sasa hawajapata jina la kumpa.
Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa wanandoa hao wamekuwa wakijadiliana majina ya kumpa lakini bado hawajapenda hata moja.
Wanatarajia kupata mtoto wa kiume siku ya Christmas japo Kim anahofia kuwa anaweza kujifungua mapema zaidi. Kanye na Kim wana mtoto wa kike, North.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...
9 years ago
Bongo507 Dec
Hili linaweza kuwa jina atakalopewa mtoto wa kiume wa Kanye West na Kim Kardashian
![Grand Opening of RYU Restaurant - Inside](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/042412-fashion-beauty-kim-kardashian-kanye-west-3-300x194.jpg)
Kanye West na Kim Kardashian wamejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyomalizika japo jina la mtoto bado halijafamika.
Hata hivyo kuna tetesi kuwa mtoto huyo ataitwa Robert, jina la baba yake Kim Kardashian ambaye ni marehemu kwa sasa.
Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center ya Los Angeles kwenye wodi ya uzazi yenye gharama ya $4,000.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...