Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kim Kardashian ashauriwa na madaktari asizae mtoto wa tatu!

1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom

Kuna uwezekano Kanye West na Kim Kardashian wasipate mtoto mwingine wa tatu kutokana na madaktari kumshauri Kim asibebe ujauzito mwingine.

1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom

Kwa mujibu wa TMZ, madaktari wamemshauri Kim K kutoongeza mtoto mwingine tena kutokana na kupata tatizo linalofahamika kwa kitaalam kama ‘placenta accreta’.

Ushauri huo umetolewa baada kupata matatizo wakati wa kujifungua watoto wake wawili North na Saint. Wamesema akipata ujauzito mwingine kwa sasa ni kuhatarisha maisha yake pamoja na mtoto.

Chanzo cha...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MADAKTARI WAMTAHADHARISHA KIM KARDASHIAN KUPUNGUZA KUFANYA MAPENZI

Kim Kardashian. MADAKTARI wamemuonya mwanadada Kim Kardashian kuacha tabia yake ya kufanya mapenzi mara nyingi kwa kuwa ni hatari kwa afya yake. Kanye na mkewe Kim. Mrembo huyo ambaye ni mke wa mwanamuziki Kanye West alikiri katika sehemu ya 10 ya kipindi chao cha familia kinachoruka runingani kuwa yeye na mumewe wanafanya mapenzi mara 15 kwa siku wakijaribu kupata mtoto mwingine. Wanandoa hao tayari wana mtoto mwenye miezi 20...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto mpya amtesa Kim Kardashian

Ujauzito wampa mawazo mwanamke mrembo Kim West Kardashian,na ikiwa atapata ujauzito mwingine afya yake iko mashakani.

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West na Kim Kardashian wapata mtoto wa kiume

kim na kanye

Hatimaye mke wa rapa Kanye West, Kim Kardashian amejifungua mtoto wao wa pili, wa kiume siku ya Jumamosi Asubuhi (Dec .5).

kim na kanye

Kim aliandika taarifa ya kujifungua kupitia website yake. “Kim Kardashian West and Kanye West welcomed the arrival of their son this morning. Mother and son are doing well,” ulisomeka ujumbe huo.

He's here! https://t.co/KlWQrG3Ri9 pic.twitter.com/NRLQCeQ5H4

— Kim Kardashian West (@KimKardashian) December 5, 2015

Mpaka sasa Kim na Kanye bado hawajasema jina la mtoto...

 

10 years ago

GPL

KIM KARDASHIAN AFICHUA NI MJAMZITO, KUZAA MTOTO WA PILI

Mmwanamitindo wa Marekani, Kim Kardashian akiwa na mumewe mwanamuziki, Kanye West. Kim Kardashian akifanyiwa vipimo hospitalini jana, ambapo alionekana kuwa mjamzito.  Aliyesimama kushoto ni mama yake, Kris Jenner.…

 

9 years ago

GPL

‘BABY SHOWER’ YA MTOTO WA KIM KARDASHIAN YAFANA!

Mwanamitindo maarufu, Kim Kardashian. New York,Marekani
MWANAMITINDO maarufu, Kim Kardashian kwa kushirikiana na ndugu zake Khloe, Kourtney, Kendall na Kylie hivi karibuni aliangusha bonge la sherehe ‘baby shower’ ya mwanaye wa kiume anayetarajia kumpata. ....Akiwa na ndugu zake. Hafla hiyo ilifanyikia katika Ukumbi wa Friend’s Beverly Hills Estate huko New York, Marekani ambapo baada ya hapo ndugu zake wote walitupia...

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West na Kim Kardashian watoa jina la mtoto wao wa kiume

kanye and kim

Baada ya ubashiri wa watu wengi juu ya jina atakalopewa mtoto wa pili wa mastaa Kanye West na mkewe Kim Kardashian West, hatimaye wazazi wake wametoa jina.

kanye and kim

Mtoto wao wa kiume aliyezaliwa siku ya Jumamosi asubuhi wamemuita ‘SAINT WEST’, unalionaje?

Kim K ameshare na ulimwengu jina la baby brother wa North West kupitia website yake kwa kuandika, “To our fans. Saint West. 12.05.15. 8 pounds, 1 ounce.” Na kwenye page yake ya Instagram alipost emoji za watu wanne, baba, mama, na watoto wawili...

 

9 years ago

Bongo5

Kim Kardashian anatarajia kujifungua mtoto wake wa pili siku ya Christmas

Rapper Kanye West na mkewe Kim Kardashian ambaye ni mjamzito wanatarajia kumpokea mdogo wake na North siku ya Christmas, ambapo Kim ndio anatarajia kujifungua. Kwa mujibu wa TMZ, Kim K anatarajia kujifungua mtoto wake wa pili Dec. 25. Vyanzo vya karibu vimedia kuwa couple hiyo tayari ime ‘book’ Deluxe Maternity Suite kwenye hospitali ya Cedars-Sinai […]

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West na Kim Kardashian bado wanahaha kutafuta jina la mtoto wao ajaye

1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom

Muda wa kumpokea mtoto wa pili umekaribia lakini Kim Kardashian na Kanye West wanadaiwa hadi sasa hawajapata jina la kumpa.

1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom

Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa wanandoa hao wamekuwa wakijadiliana majina ya kumpa lakini bado hawajapenda hata moja.

Wanatarajia kupata mtoto wa kiume siku ya Christmas japo Kim anahofia kuwa anaweza kujifungua mapema zaidi. Kanye na Kim wana mtoto wa kike, North.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...

 

9 years ago

Bongo5

Hili linaweza kuwa jina atakalopewa mtoto wa kiume wa Kanye West na Kim Kardashian

Grand Opening of RYU Restaurant - Inside

Kanye West na Kim Kardashian wamejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyomalizika japo jina la mtoto bado halijafamika.

Grand Opening of RYU Restaurant - Inside

Hata hivyo kuna tetesi kuwa mtoto huyo ataitwa Robert, jina la baba yake Kim Kardashian ambaye ni marehemu kwa sasa.

2F166FE700000578-3348507-And_baby_makes_four_Kim_with_her_first_child_daughter_North_two_-m-28_1449435844411

Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center ya Los Angeles kwenye wodi ya uzazi yenye gharama ya $4,000.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani