Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ridhiwani ampinga Manji kuongezewa muda Jangwani

Mwanachama wa Yanga na Mwenyekiti wa Ujenzi wa Jengo la Mafia, Ridhiwani Kikwete amepinga kitendo cha Mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuph Manji na wenzake kuongezewa muda wa uongozi wa mwaka mmoja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWAKALEBELA: BUNGE KUONGEZEWA MUDA IKIWA...

Na Elvan Stambuli
MWANASIASA na  mdau wa soka kijana,  Frederick Mwakalebela ametabiri kuwa ikiwa malumbano ndani ya Bunge Maalum la Katiba linaloketi mjini Dodoma litaendeleza malumbano ya makundi, bunge hilo litaongezewa muda na hata kusababisha Uchaguzi Mkuu wa  2015 kusogezwa mbele. Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za gazeti hili Bamaga Mwenge jijini Dar mwishoni mwa wiki iliyopita, Mwakalebela...

 

11 years ago

CloudsFM

KIKWETE: SINA MUDA KUJADILI UPUUZI KUHUSU RIDHIWANI

Rais Jakaya Kikwete amepuuza madai kwamba, alishiriki kumwokoa mwanawe, ambaye ni Mbunge wa Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, aliyetuhumiwa kukamatwa na dawa za kulevya nje ya nchi.
Amesema kuwa urais ni taasisi kubwa nchini, hivyo yeye akiwa rais hawezi kujiingiza katika ubishani na watu wa mtaani, kama ambavyo baadhi ya watu wanaomsukuma ashiriki katika maneno hayo aliyoyaita kuwa ni ya “mitaani.”

“This is nonsense ni mkusanyiko wa upuuzi. Sina muda wala siwezi kupoteza nguvu yangu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pinda ampinga Kikwete

SIKU chache baada ya Bunge Maalum la Katiba kupitisha kwa mbinde katiba inayopendekezwa, Tanzania Daima Jumapili, limedokezwa kuwapo kwa mpasuko mpya ndani ya Chama. Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali. Mpasuko...

 

10 years ago

Mwananchi

Kaburu ampinga kocha Mzungu

Kinyume na vitisho vya kocha mpya wa Simba, Goran Kopunovic aliyemtaka mshambuliaji wake Emmanuel Okwi awe amewasili kwenye mazoezi ya klabu hiyo saa 24 vinginevyo ataadhibiwa, uongozi wa klabu hiyo umemkingia kifua.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nel ampinga Maringa kesi ya Pistorius

Idara ya kurekebisha tabia nchini Afrika Kusini inataka Oscar Pistorius apewe kifungo cha nyumbani badala ya kifungo jela.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi ampinga meya eneo la shule kuwa makaburi

Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Mussa Nzugiza amesema, hatakubali kushiriki mpango wa kumega eneo la Sekondari ya Mbeya kutumika kwa ajili ya makaburi.

 

9 years ago

Habarileo

Nyosso kuongezewa adhabu

KLABU ya Azam FC imesema kuwa inajipanga kuchukua hatua za kisheria zaidi katika kufuatilia sakata la mchezaji wake John Bocco kudhalilishwa na mchezaji Juma Nyosso wa Mbeya City.

 

10 years ago

GPL

MGONJWA: SITAKI KUONGEZEWA DAMU

Stori: Makongoro Oging’ na lssa Mnally/UWAZI
Muumini wa Kanisa la Jehova Witness, Richard Abdoni Juma, 44, (pichani), mkazi wa Mtaa wa Migera wilaya ya Bukoba mkoani Kagera, ambaye alitarajiwa kufanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kutokana na ajali, madaktari wameshindwa kufanya hivyo kutokana na imani ya dini yao. Bw. Richard Abdoni Juma, (44) anayedaiwa kupata ajali na kuvunjika nyonga. AGUNDULIKA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani