Wambura, Kaburu kitanzini
>Michael Wambura na Geofrey Nyange ‘Kaburu’ pamoja na wagombea wa ujumbe wa kamati ya utendaji ya Simba wamewekewa pingamizi la kuwania uongozi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 May
Wambura, Kaburu ngoma nzito
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vu2giU6L5OcrLGoLwHZDe1nVNJV*XoscXRUTgNBk62xyeJRe87GaHBCcaIMpqjJ6Mtd2WKNCUqDyaBiCm2gyeof0YPxyA2Qw/1.jpg)
Yanga wataka Kaburu ajiuzuru
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kaburu ampinga kocha Mzungu
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Kaburu: Nitafuta makundi Simba
MGOMBEA wa nafasi ya makamu wa rais wa Simba ya jijini Dar es Salaam, Geofrey Nyange ‘Kaburu’, amezindua kampeni zake kwa kuwataka wanachama wa klabu hiyo kumpa ridhaa ya kushika...
9 years ago
Habarileo29 Sep
Kipigo cha Yanga kinauma — Kaburu
MAKAMU wa Rais wa Simba, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ amesema kitendo cha timu yao kufungwa na Yanga juzi kimewaumiza, lakini hakiwarudishi nyuma, wanachukulia ni sehemu ya mchezo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632p*TJEcjGbn2h*Xl5wRX7VGZAyHLMfymQQc*LC8fNEIY8Uh8W0s5GrHCJMTA-k32VYA9dsBcDkNVRxkmjZa4*1H/aveva.gif?width=650)
Aveva, Kaburu wamsimamisha Hans Pope Simba
10 years ago
Mtanzania10 Apr
Gwajima kitanzini
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtaka Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kupeleka nyaraka 10 za mali anazomiliki.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwanasheria wa Askofu Gwajima, John Mallya, alisema anatakiwa kuzipeleka nyaraka hizo kituoni hapo Aprili 16 mwaka huu.
Mallya alisema hatua hiyo imefikiwa baada ya mteja wake kuhojiwa na polisi kuhusu tuhuma zinazomkabili za kumtolea maneno ya kashfa...
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Bodi ya Ligi kitanzini
10 years ago
Mtanzania03 Feb
Majaji wa Escrow kitanzini
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
TUME ya Utumishi wa Mahakama imesema suala la majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania wanaotuhumiwa kupokea zaidi ya Sh milioni 400 kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow, limefika kwenye tume hiyo na linafanyiwa kazi.
Kwa utaratibu wa tume hiyo, baada ya uchunguzi taarifa hupelekwa kwa rais ambaye baada ya kupitia mapendekezo yaliyotolewa kwenye ripoti ya uchunguzi, hutoa uamuzi.
Hayo yalielezwa jana na Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Hussein Katanga, katika banda la Tume...