Kipigo cha Yanga kinauma — Kaburu
MAKAMU wa Rais wa Simba, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ amesema kitendo cha timu yao kufungwa na Yanga juzi kimewaumiza, lakini hakiwarudishi nyuma, wanachukulia ni sehemu ya mchezo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Yanga yajitetea kipigo cha Gor Mahia
NAHODHA wa timu ya soka Yanga Nadir Haroub ‘Cannavaro’, amesema kipicho cha mabao 2-1, walichokipata kutoka kwa Gor Mahia ya Kenya hakiwafanyi washindwe kufanya vizuri.
Yanga imepata kipigo hicho kwenye mechi yao ya kwanza michuano ya Kagame inayoendelea kuchezwa jijini Dar es Salaam, kwenye viwanja vya Taifa na Kumbukumbu ya Karume.
Akizungumza na Raia Tanzania mara baada ya kumalizika mchezo huo mwishoni mwa wiki iliyopita nahodha huyo alisema wanafahamu changamoto wanazokutana...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/SIMBA-1.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIsGb31jb1pmkeHwOMnaRvSTWz3z0bqcWtUMDp1j7KvJw0w15l-f96n3t2k*JnfY5bxRSHIldMzik6uTZYOHuXvZ/BACK.jpg)
KIFO CHA MTOTO HUYU KINAUMA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vu2giU6L5OcrLGoLwHZDe1nVNJV*XoscXRUTgNBk62xyeJRe87GaHBCcaIMpqjJ6Mtd2WKNCUqDyaBiCm2gyeof0YPxyA2Qw/1.jpg)
Yanga wataka Kaburu ajiuzuru
10 years ago
Vijimambo16 Dec
SIMBA YAMFUKUZISHA MAXIMO JANGWANI MARA BAADA YA KUWAPA KIPIGO CHA MAGOLI 2 KWA 0 YANGA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ov_z2YnkL4k/VDtZAMPZmUI/AAAAAAAAnmY/gypLLHhBxCo/s72-c/M2.jpg)
KABURU NA BINDA WAWAONGOZA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KATIKA NANI MTANI JEMBE JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ov_z2YnkL4k/VDtZAMPZmUI/AAAAAAAAnmY/gypLLHhBxCo/s1600/M2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cLdj2CMUlLM/VDtY_wi12pI/AAAAAAAAnmU/ZZF86DFiYXM/s1600/M%2B1%2B(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yEJrYSNiyJQ/VDtY_wjYKvI/AAAAAAAAnm8/GTtJR5Bx2dE/s1600/M%2B3%2B(2).jpg)
9 years ago
StarTV24 Aug
Timu ya Ngassa yapata kipigo cha mbwa mwizi cha 4-0
![](http://2.bp.blogspot.com/-O3yxJUEbx6U/VdmZnmQQGuI/AAAAAAABm1I/-CU5iUl2nIw/s640/13dc4207e53088253da60d7926d652d7.jpg)
TIMU ya Free State Stars yenye Mtanzania, Mrisho Khalfan Ngassa imefungwa mabao 4-0 jana na Kaizer Chiefs katika mchezo wa Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini Uwanja wa FNB, Johannesburg.
Huo unakuwa mchezo wa pili Free State kufungwa, baada ya wiki mbili zilizopita kufungwa 1-0 nyumbani na Mpumalanga Blac Aces.
Katika mchezo wa jana ambao Ngassa hakucheza, mabao ya Kaizer Chiefs yalifungwa na Siboniso Gaxa dakika ya 34,...
10 years ago
Vijimambo11 Apr
BAADA YA KIPIGO CHA TAREHE 8 CHA BAO 8 JULIO ATUPIWA VILAGO KWENYE KAMATI YA UFUNDI YA COASTAL
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/Jamhuri-Kihwelo-Julio.jpg)
KOCHA wa Coastal Union, Jamhuri Musa Kiwhelo ‘Julio’ ametimuliwa baada ya kichapo cha magoli 8-0 alichopata kutoka kwa Yanga jumatano ya wiki hii.Taarifa za ndani na za uhakika kutoka kwa viongozi wa Coastal, siku hiyo baada ya kipigo walikubaliana kumtimua Julio na yeye alipewa taarifa hizo na kukubali.
Ili kulinda heshima yake, Julio akaomba aongoze mechi ya jumamosi uwanja wa Azam Complex dhidi ya Jkt Ruvu jumamosi ya wiki hii kwa nia ya kuogopa kudhalilishwa.
Baada ya mechi hiyo dhidi ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRcqY74DAuxrcwjqIlq8PN8xdefI1AC-IGKIIVBI4fDbceaBWvRD01pONLR6vi8vEcOlKuWgRrR8iE9MMblVO8fX/MANJI.jpg?width=650)
MANJI AKUBALI KIPIGO CHA 3-1