Ben Davies apasuliwa bega
Beki wa kulia wa Tottenham Ben Davies ameenguliwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Wales baada ya kufanyiwa upasuji wa bega.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 May
Nyalandu: Vigogo serikalini wako bega kwa bega na majangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amedai kuwa majangili wote wanaotiwa mbaroni na vikosi vya Askari wa Wanyamapori, wanadaiwa wanatumwa na watu waliopo kwenye ofisi za serikali na wengine nje ya nchi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fGcspb67QRQ/XoRxbi2F0yI/AAAAAAALlxU/dOjFSYzsqWQjpJrpK8Cx574DMbgsvuB4QCLcBGAsYHQ/s72-c/093d0932-90be-4079-abf5-61c1daf3dbe8.jpg)
MERIDIANBET INAWAJIBIKA KWA JAMII: Afya na burudani vinaenda bega kwa bega!
![](https://1.bp.blogspot.com/-fGcspb67QRQ/XoRxbi2F0yI/AAAAAAALlxU/dOjFSYzsqWQjpJrpK8Cx574DMbgsvuB4QCLcBGAsYHQ/s640/093d0932-90be-4079-abf5-61c1daf3dbe8.jpg)
KAMPUNI inayowajibika kwa jamii na kujali afya na utu wa wananchi, Meridianbet inataka kukuhimiza kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa na mamlaka husika.
Sisi kama jamii ni lazima tujali afya zetu na wananchi wengine na kuonesha mshikamano kati yetu.
Tunafahamu kiasi cha msongo wa mawazo na hali ya mabadiliko katika maisha yetu, hali hii imepelekea watu wengi kutumia muda mwingi kukaa majumbani na kujitenga.
Hivyo, kwa ajili ya kufanya hali iwe rahisi katika kipindi hiki ambacho wote tupo,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJNx-TUw2Ja5bsddJloQ7B*rfXzBbq5a0AYf8Zcgwmhl*Is5NiZxUtJU7avGQ6h0QP5UipfSlUscIowy6nOH5mkA/sadiki.jpg)
ABOUBAKAR SADIK APASULIWA
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Mwanamziki apasuliwa huku akiimba
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Davies ajiuzuru kupisha uchunguzi
9 years ago
Bongo509 Nov
Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…
![Ben SA-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-SA-1-300x194.jpg)
Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.
Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.
Ben Pol na Patoranking
Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...
10 years ago
Vijimambo10 Oct
Davies J Msaki aka TeeKiLLa, from Tanzania representing the 255.
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Rojo aumia bega mazoezini
9 years ago
Mtanzania05 Dec
Rojo afyatuka bega mazoezini
MANCHESTER, ENGLAND
KLABU ya Manchester United imepata pigo baada ya beki wake Marcos Rojo kufyatuka bega akiwa mazoezini na klabu hiyo.
Ajalia hiyo ya kufanyatuka bega ilitokea wakati wa mazoezi juzi ambapo aliumia bega lile lile aliloumia msimu uliopita katika mchezo dhidi ya Manichester City na kukaa nje ya Uwanja kwa wiki nne.
Hata hivyo klabu hiyo bado haijazungumzia suala la beki huyu ila kocha wa timu hiyo Louis van Gaal anatarajia kutoa maelezo ya kuumia huko kwa beki wake.
Beki huyo...