Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ABOUBAKAR SADIK APASULIWA

Stori: Joseph Shaluwa
AFYA ya mtangazaji mwenye jina kubwa Bongo, Aboubakar Sadik ambaye anatumikia Radio One Sterio ya jijini Dar es Salaam, si nzuri kiasi cha kulazimika kufanyiwa upasuaji haraka. Mtangazaji  wa Radio One Sterio mwenye jina kubwa Bongo, Aboubakar Sadik akifanyiwa upasuaji. Habari kutoka chanzo chetu cha kuaminika, zinasema kuwa, Abou alizidiwa ghafla Jumamosi ya Julai 26, mwaka huu akiwa kazini kwake na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sadik awaonya vijana

MKUU wa Mkoa Dar es Salaam, Said Meck Sadik, amewataka vijana kujiepusha na mapenzi ya kunyonyana ulimi kwa sababu njia hiyo inatajwa kuwa chanzo cha maambukizi wa Homa ya Ini...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamziki apasuliwa huku akiimba

Katika tukio la kwanza la aina yake mwanamziki mmoja nchini Ufarasa amefanyiwa upasuaji kuondoa uvimbe kooni huku akiimba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC Sadik awatupia zigo madiwani

MKUU wa Mkoa (RC) Dar es Salaam, Said Meck Sadik, amesema suala la kuliweka jiji hilo katika hali ya usafi halina mjadala kwa sababu mpango huo umetokana na madiwani wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ben Davies apasuliwa bega

Beki wa kulia wa Tottenham Ben Davies ameenguliwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Wales baada ya kufanyiwa upasuji wa bega.

 

11 years ago

Michuzi

ankal na Aboubakar Faraj wa swift Freight UK LTD

Ankal akila selfie na mdau anayefanya vyema katika biashara ya usafirishaji mizigo dunia nzima kaka Abouibakar Faraji ofisini kwake Tottenham Hale..

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

ngoma azipendazo ankal - Special request from Aboubakar Liongo

Msondo Ngoma Music Band  - "Kalunde"

 

9 years ago

Vijimambo

BAKWATA YAMCHAGUA SHEKHE ABOUBAKAR ZUBEIR BIN ALLY KUWA MUFTI WA TANZANIA



Shekhe Mkuu wa Tanzania ambaye pia ni Mufti wa Tanzania, Aboubakar Zubeir Bin Ally amewataka Watanzania kumwomba Mungu ili awapatie kiongozi bora katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Shekhe Zubeir aliyasema hayo jana kwenye mkutano mkuu wa Bakwata uliompitisha kuwa Mufti wa Tanzania kwa kura za wajumbe wote 310 baada ya mtu aliyeingia naye katika ushindani huo kujitoa.
Katika kinyang’anyiro hicho Shekhe Aboubakar alikuwa na wenzake watatu ambao ni Shekhe Khamis Mtupa, Shekhe Hassan Kiburwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani