Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sadik awaonya vijana

MKUU wa Mkoa Dar es Salaam, Said Meck Sadik, amewataka vijana kujiepusha na mapenzi ya kunyonyana ulimi kwa sababu njia hiyo inatajwa kuwa chanzo cha maambukizi wa Homa ya Ini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete awaonya vijana wa CCM

>Rais Jakaya Kikwete amewataka vijana wa  CCM kutokuwa makuwadi na madalali wa wagombea urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.

 

11 years ago

GPL

ABOUBAKAR SADIK APASULIWA

Stori: Joseph Shaluwa
AFYA ya mtangazaji mwenye jina kubwa Bongo, Aboubakar Sadik ambaye anatumikia Radio One Sterio ya jijini Dar es Salaam, si nzuri kiasi cha kulazimika kufanyiwa upasuaji haraka. Mtangazaji  wa Radio One Sterio mwenye jina kubwa Bongo, Aboubakar Sadik akifanyiwa upasuaji. Habari kutoka chanzo chetu cha kuaminika, zinasema kuwa, Abou alizidiwa ghafla Jumamosi ya Julai 26, mwaka huu akiwa kazini kwake na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC Sadik awatupia zigo madiwani

MKUU wa Mkoa (RC) Dar es Salaam, Said Meck Sadik, amesema suala la kuliweka jiji hilo katika hali ya usafi halina mjadala kwa sababu mpango huo umetokana na madiwani wa...

 

11 years ago

Habarileo

RC awaonya wafugaji

SERIKALI mkoani hapa imeazimia kuchukua hatua za kisheria kwa mtu yeyote atakayekiuka utaratibu wa kisheria wa kutaka kuhamia katika maeneo ya Mkoa wa Mbeya kwa ajili ya ufugaji. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro alitoa msisitizo huo alipokuwa kwenye ziara ya kikazi wilayani Chunya, ambapo aliitaja wilaya hiyo kuwa miongoni mwa wilaya zilizokithiri kwa maeneo yake kuvamiwa na wafugaji wanaohamia bila kufuata utaratibu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simbachawene awaonya wajumbe

MJUMBE wa Bunge Maalumu, George Simbachawene, amewaonya wajumbe wenzake waache kumbeza Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Warioba na rasimu ya Katiba iliyotolewa na tume hiyo.  Simbachawene alitoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC Nyamagana awaonya walimu

MKUU wa Wilaya (DC) ya Nyamagana, Baraka Konisaga, amesema atawachukulia hatua za kinidhamu walimu wote wa shule za msingi na sekondari wilayani hapa watakaobainika kuwafukuza shuleni wanafunzi wasiolipa ada na...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri awaonya wafanyabiashara

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya amesema Serikali haina mpango wa kubadili ukusanyaji wa kodi kupitia mashine za elekroniki EFDS na kwamba, ipo tayari kupambana na wafanyabiashara wote wanaopingana na utaratibu huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lukuvi awaonya wafanyabiashara

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge),William Lukuvi, amewakemea baadhi ya wafanyabiashara kuacha kutumia jina lake na kuvamia maeneo ya watu kwa nia ya kudhulumu maeneo...

 

11 years ago

Habarileo

RC awaonya wanasiasa wafitini

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bandera, amewaonya wanasiasa wakiwemo wa vyama vya upinzani wanaoendesha kampeni chafu zenye kuleta chuki kati ya Serikali na wananchi walioathirika na mafuriko katika vijiji vya Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa kuacha tabia hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani