DC Nyamagana awaonya walimu
MKUU wa Wilaya (DC) ya Nyamagana, Baraka Konisaga, amesema atawachukulia hatua za kinidhamu walimu wote wa shule za msingi na sekondari wilayani hapa watakaobainika kuwafukuza shuleni wanafunzi wasiolipa ada na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NeZSb8inmZg/XsNwbcdl5GI/AAAAAAALqtU/fB7I1rBmzecoLfLGFJIJnH212rT3ZKKxwCLcBGAsYHQ/s72-c/873cfe13-d758-4251-8b9e-f44638d623d6.jpg)
JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI
Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .
Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.
Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni
10 years ago
TheCitizen09 Dec
Ex-MP plots comeback for Nyamagana
10 years ago
Habarileo17 Dec
CCM yabanwa, yashinda Nyamagana
JUMLA ya wagombea 96 wa CCM katika nafasi ya Uenyekiti wa Serikali za Mitaa kwenye kata zilizopo katika wilaya ya Nyamagana, wameshinda nafasi hiyo huku Chadema ikishinda katika mitaa 70.
9 years ago
StarTV23 Sep
Wanachama CWT Nyamagana waandamana
Zaidi ya wanachama 500 wa Chama cha Walimu Tanzania CWT wilayani Nyamagana wameandamana hadi katika ofisi za mkurugenzi wa jiji la Mwanza wakihitaji kupewa majibu sahihi juu ya madai yao ya mishahara, malipo ya likizo, nauli, posho, matibabu pamoja na kupandishwa vyeo.
Kwa mujibu wa walimu hao, madai hayo ni ya muda mrefu, licha ya kupaza sauti zao kupitia Chama cha Walimu nchini CWT lakini hawakupatiwa majibu sahihi juu ya madai hayo.
Nyimbo za kueleza umuhimu wao katika jamii ya...
11 years ago
Daily News22 Jul
Nyamagana school fundraiser flops
Daily News
OVER 1m/- out of the targeted 25m/- was raised at a fund raising event for the purchase of school desks and the construction of pit latrines at Tambukaleri Primary School in Nyamagana District here. The school needs at least 485 desks and a number of toilet ...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Wenje: Nimefanya mengi Nyamagana
11 years ago
Daily News29 Jul
Stolen Nyamagana toddler found in Musoma
Daily News
AN infant, who mysteriously disappeared from Bungani Ward in Nyamagana District, has been found in Musoma. The Acting Mwanza Regional Police Commander (RPC), Christopher Fuime, told the 'Daily News' over the week-end that the woman who ...