Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC Nyamagana awaonya walimu

MKUU wa Wilaya (DC) ya Nyamagana, Baraka Konisaga, amesema atawachukulia hatua za kinidhamu walimu wote wa shule za msingi na sekondari wilayani hapa watakaobainika kuwafukuza shuleni wanafunzi wasiolipa ada na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Selemani Jafo ameutaka uongozi mpya wa Tume ya Utumishi wa Walimu kutatua changamoto za walimu ili kuwatia moyo katika kutimiza majukumu yao.

Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .

Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.

Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu

Walimu wilayani hapa wamekiomba Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kuweka utaratibu utakaowawezesha walimu walioko pembezoni kununua hisa katika Benki ya Walimu ikiwamo ya kutumia kutumia mitandao ya simu za mkononi.

 

11 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni

Mwalimu mahiri ni mwalimu mwenye uwezo wa kumudu kufundisha somo lake kikamilifu na kisha kutoa maarifa sahihi kwa mujibu wa maelekezo ya silabasi.

 

10 years ago

TheCitizen

Ex-MP plots comeback for Nyamagana

In what political observers here are viewing as a campaign to regain the Parliamentary seat he relinquished to the opposition in 2010, former Nyamagana MP Lawrence Masha has advised area residents to pick strong candidates to represent them well.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yabanwa, yashinda Nyamagana

JUMLA ya wagombea 96 wa CCM katika nafasi ya Uenyekiti wa Serikali za Mitaa kwenye kata zilizopo katika wilaya ya Nyamagana, wameshinda nafasi hiyo huku Chadema ikishinda katika mitaa 70.

 

9 years ago

StarTV

Wanachama CWT Nyamagana waandamana

 

Zaidi ya wanachama 500 wa Chama cha Walimu Tanzania CWT wilayani Nyamagana wameandamana hadi katika ofisi za mkurugenzi wa jiji la Mwanza wakihitaji kupewa majibu sahihi juu ya madai yao ya mishahara, malipo ya likizo, nauli, posho, matibabu pamoja na kupandishwa vyeo.

Kwa mujibu wa walimu hao, madai hayo ni ya muda mrefu, licha ya kupaza sauti zao kupitia Chama cha Walimu nchini CWT lakini hawakupatiwa majibu sahihi juu ya madai hayo.

 

Nyimbo za kueleza umuhimu wao katika jamii ya...

 

11 years ago

Daily News

Nyamagana school fundraiser flops


Nyamagana school fundraiser flops
Daily News
OVER 1m/- out of the targeted 25m/- was raised at a fund raising event for the purchase of school desks and the construction of pit latrines at Tambukaleri Primary School in Nyamagana District here. The school needs at least 485 desks and a number of toilet ...

 

9 years ago

Mwananchi

Wenje: Nimefanya mengi Nyamagana

Mgombea ubunge wa Chadema Jimbo la Nyamagana, Ezekiah Wenje amesema kutokana na maendeleo aliyoyafanya kwa miaka mitano iliyopita anasubiri kuapishwa tena.

 

11 years ago

Daily News

Stolen Nyamagana toddler found in Musoma


Stolen Nyamagana toddler found in Musoma
Daily News
AN infant, who mysteriously disappeared from Bungani Ward in Nyamagana District, has been found in Musoma. The Acting Mwanza Regional Police Commander (RPC), Christopher Fuime, told the 'Daily News' over the week-end that the woman who ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani