Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yabanwa, yashinda Nyamagana

JUMLA ya wagombea 96 wa CCM katika nafasi ya Uenyekiti wa Serikali za Mitaa kwenye kata zilizopo katika wilaya ya Nyamagana, wameshinda nafasi hiyo huku Chadema ikishinda katika mitaa 70.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

CCM Nyamagana waanza kufanyiana ushushushu

Na John Maduhu, Mwanza
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Nyamagana, kimeunda kamati za siri ili kufuatilia mienendo ya wagombea waliotangaza nia ya kuwania Jimbo la Nyamagana.

Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi jana, Katibu wa CCM Wilaya ya Nyamagana, Elias Mpanda, alisema lengo la kuunda kamati za siri ni kudhibiti wagombea wanaotoa rushwa kwa wanachama wa CCM ili kuwashawishi kuwaunga mkono.

Alisema kamati hizo za siri pia zitakuwa na jukumu la kufuatilia kama watangaza nia hao wamekuwa...

 

9 years ago

Daily News

CCM candidate for Nyamagana constituency sets election agenda


CCM candidate for Nyamagana constituency sets election agenda
Daily News
NYAMAGANA CCM legislative candidate and the former Mwanza City Mayor, Mr Stanslaus Mabula, has urged Igogo ward residents to elect him for speedy development. He was addressing hundreds of 'wananchi' at Igogo grounds during his second ...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yashinda majimbo matano

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu zikiendelea, tayari CCM imepata wabunge watano waliopita bila kupingwa.

 

10 years ago

Vijimambo

NSSF Yashinda Bonanza la Pasaka Zanzibar Mpira wa Miguu Netiboli Yashinda ZSSF

Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3. Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3. Kamisaa wa mchezo wa kirafiki kati ya ZSSF na...

 

11 years ago

BBCSwahili

CCM yashinda uchaguzi mdogo wa ubunge

Chama cha Mapinduzi nchini Tanzania kimenyakua asilimia 79.4 ya kura zilizopigwa katika Jimbo la Kalenga

 

9 years ago

StarTV

CCM yashinda kata zote tatu mkoani Ruvuma

Chama cha Mapinduzi CCM kimeshindi uchaguzi wa madiwani katika kata tatu za mkoa wa Ruvuma.

Wasimamizi wa Uchaguzi katika majimbo ya Madaba na Namtumbo wamesema kata za Mkongo Gulioni na Lismondi washindi  wote ni kutoka CCM.

 Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Namtumbo akiongea kwa njia ya simu akitoa Matokeo amesema Jimbo la Namtumbo lilikuwa na Kata 2 zilizofanya Uchaguzi kugombea udiwani mgombea wa CCM  Pandu Juma Alfani wa mkongo gulioni alimshinda mpinzani wake wa chadema Komba Dasitani...

 

10 years ago

Habarileo

CCM yashinda viti vyote Monduli, Lowassa atamba

CHAMA Cha Mapinduzi wilayani Monduli imechukua nafasi zote katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, vitongoji na vijiji.

 

11 years ago

Michuzi

CCM YASHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA


Mgombea Ubunge Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Godfrey Mgimwa  akiwa amebebwa na wafuasi wa chama hicho jana usiku katika Ofisi ya CCM Mkoa wa Iringa baada kutangazwa matokeo ya awali yasiyo rasmi .Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na ushindi wa kishindo kwa kushinda kata zote 13 zilizoko kwenye jimbo hilo la Kalenga.  =======  =====  ======= Matokeo ya Uchaguzi Mdogo jimbo la Kalenga Iringa vijijini yametangazwa rasmi jana usiku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani