Wanachama CWT Nyamagana waandamana
Zaidi ya wanachama 500 wa Chama cha Walimu Tanzania CWT wilayani Nyamagana wameandamana hadi katika ofisi za mkurugenzi wa jiji la Mwanza wakihitaji kupewa majibu sahihi juu ya madai yao ya mishahara, malipo ya likizo, nauli, posho, matibabu pamoja na kupandishwa vyeo.
Kwa mujibu wa walimu hao, madai hayo ni ya muda mrefu, licha ya kupaza sauti zao kupitia Chama cha Walimu nchini CWT lakini hawakupatiwa majibu sahihi juu ya madai hayo.
Nyimbo za kueleza umuhimu wao katika jamii ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog28 May
Wanachama wa Simba waandamana na kufunga njia za Msimbazi wakitaka Wambura arudishwe kwenye orodha ya wagombea
Mashabiki wa Timu ya simba wakijikusanya nje ya jengo la klabu hiyo kongwe kupinga Wambura kuondolewa kwenye uchaguzi unakuja hivi karibuni.
Hapa mashabiki wakizidi kujikusanya kwa wingi mchana huu.
Wanachama wa Simba wakiwa wamelizunguka Jengo la klabu yao mchana huu kupinga kuondolewa kwa wambura kwenye uchaguzi wa klabu hiyo.
Wanachama wa Simba wakipiga kelele nje ya jengo la klabu yao hiyo wakitaka wapewe ufafanuzi wa kina kwanini wambura ametolewa kwenye uchaguzi unaokuja.
Mmoja...
11 years ago
MichuziWANACHAMA WA SIMBA WAANDAMANA NA KUFUNGA NJIA YA MSIMBAZI WAKITAKA WAMBURA ARUDISHWE KWENYE ORODHA YA WAGOMBEA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-W1iY7IhLohg/VRq-vLRsLlI/AAAAAAABqR4/iydTlJDTAPA/s72-c/W3.jpg)
Wanachama wa Vikoba Wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kongamano la Wanachama wa Vikoba Arusha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1iY7IhLohg/VRq-vLRsLlI/AAAAAAABqR4/iydTlJDTAPA/s640/W3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-W87GdMd-xbA/VRq-x07IeDI/AAAAAAABqSA/rG7r7p5GINY/s640/W%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FvvUTJvIL4E/VRq-1KjGDUI/AAAAAAABqSI/rFbtDFPl3mA/s640/W%2B1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
DC Nyamagana awaonya walimu
MKUU wa Wilaya (DC) ya Nyamagana, Baraka Konisaga, amesema atawachukulia hatua za kinidhamu walimu wote wa shule za msingi na sekondari wilayani hapa watakaobainika kuwafukuza shuleni wanafunzi wasiolipa ada na...
10 years ago
TheCitizen09 Dec
Ex-MP plots comeback for Nyamagana
10 years ago
Habarileo17 Dec
CCM yabanwa, yashinda Nyamagana
JUMLA ya wagombea 96 wa CCM katika nafasi ya Uenyekiti wa Serikali za Mitaa kwenye kata zilizopo katika wilaya ya Nyamagana, wameshinda nafasi hiyo huku Chadema ikishinda katika mitaa 70.
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Wenje: Nimefanya mengi Nyamagana
11 years ago
Daily News22 Jul
Nyamagana school fundraiser flops
Daily News
OVER 1m/- out of the targeted 25m/- was raised at a fund raising event for the purchase of school desks and the construction of pit latrines at Tambukaleri Primary School in Nyamagana District here. The school needs at least 485 desks and a number of toilet ...
10 years ago
Dewji Blog28 Jun
Ziara ya Kinana katika jimbo la Nyamagana
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6IqNdZiSKI/VY9y_KDPeJI/AAAAAAAAf7Y/-lmq5eswCX0/s640/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi kutoka wilaya ya Nyamagana wanaounda makundi ya Machinga,Bodaboda, na Mama Lishe kwenye uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-fww6ubGfakc/VY9zAW49xmI/AAAAAAAAf7k/UORgLf2EWUY/s640/22.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na makundi ya Mama Lishe ,Machinga na Boda boda katika kikao kilichofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GE_xqb02TSI/VY9zA0KEh_I/AAAAAAAAf7w/bS0tV9YBfI8/s640/17.jpg)
Baadhi ya Mama lishe waliohudhulia kikao na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ur-8Pgzj8f0/VY9zhKkG_II/AAAAAAAAf8E/H-pLQ0FEsyw/s640/18.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10