Wenje: Nimefanya mengi Nyamagana
Mgombea ubunge wa Chadema Jimbo la Nyamagana, Ezekiah Wenje amesema kutokana na maendeleo aliyoyafanya kwa miaka mitano iliyopita anasubiri kuapishwa tena.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen12 Aug
Slaa will be back, Wenje tells Nyamagana voters
The outgoing Nyamagana MP, Mr Ezekia Wenje, has revealed what transpired within Chadema meetings during discussions that led to the decision to welcome former Prime Minister Edward Lowassa to the party.
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Wenje, Stanslaus, Okong'o ndio habari ya Nyamagana
MBUNGE wa Nyamagana mkoani Mwanza aliyemaliza muda wake, Ezekiah Wenje (Chadema) anakabiliwa na k
Christopher Gamaina
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdYHvXB5V9zOgTDStMSFtV*h3YpZ7fplnBlSbJbBDxJ1YOOwaXDp-m6NhUQMIfNfPpjZeywP7Zh5Bps*qOC5Ogp*/MAINDA.jpg)
MAINDA NIMEFANYA SANA ANASA, SASA BASI!
Stori: Mayasa Mariwata
STAA wa filamu Bongo aliyeamua kumpokea Yesu, Ruth Suka ‘Mainda’ amesema kipindi cha nyuma alipotangaza kuokoka alikuwa ni kama anamtania Mungu ila sasa ameokoka kikwelikweli. Akipiga stori na paparazi wetu, Mainda alisema awali alipofunguka kuwa ameokoka, hakuwa siriasi kwani alikuwa akiendeleza anasa za hapa na pale lakini sasa yeye na Yesu, Yesu na yeye. Staa wa filamu Bongo Ruth...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hMNECPNor99j9ofY0zSy1WURRbS4dJps7HL99DB2dopkfTzglsawAjOduDoXCDBxA*28b3PQe*hs1trgk1lAUyqoAtYzRlYR/Lungi.jpg?width=650)
LUNGI: NIMEFANYA SANA BIASHARA YA KUUZA UNGA
Wiki hii katika kolamu yetu hii tunaye Lungi Maulanga, msanii wa filamu Bongo ambaye pia anafanya biashara. Mwandishi Wetu Hamida Hassan alikutana naye maeneo f’lani jijini Dar na kumbana kwa maswali 10 ambayo aliyajibu kwa umakini wa hali ya juu. Tiririka naye… Mwigizaji wa Bongo Muvi, Lungi Maulanga.  Ijumaa: Hebu tuambie kuhusu maisha yako ya kimapenzi.
Lungi: Nina mpenzi wangu ambaye nampenda sana na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-393RB8L67uw/VSkgUxufGwI/AAAAAAAAaac/VOBM3x0ayd0/s72-c/jk823.jpg)
MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-393RB8L67uw/VSkgUxufGwI/AAAAAAAAaac/VOBM3x0ayd0/s640/jk823.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-riMQ3-qlTZs/VSkgUxBCNEI/AAAAAAAAaaY/zFfW6l5uG-s/s640/jk89.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AVxR5UeiMtw/VSkgW24dBCI/AAAAAAAAaao/0WxrEGDQO4Q/s640/meng879.jpg)
5 years ago
BBCSwahili23 Feb
Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania
Mwaka mmoja baada ya kifo cha bilionea wa Tanzania Reginald Mangi, tayari kumeibuka mgogoro katika familia yake, baada ya mkewe Jacqueline Mengi kudai kwamnba amenyimwa kuona kaburi la mumewe.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-QVFvxB3vifE/VW1Gbdk868I/AAAAAAAAu9g/Yxkr0FKnjy4/s72-c/007d2d.jpg)
Bifu la Emelda Mwamanga wa Bang magazine na Reginald Mengi Kwa Kuvujisha Picha za Mengi na Familia yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-QVFvxB3vifE/VW1Gbdk868I/AAAAAAAAu9g/Yxkr0FKnjy4/s640/007d2d.jpg)
Mwanamama mjasiriamali, na managing director wa jarida maarufu nchini , Bang magazine , aitwaye Emelda Mwamanga amefunguka kuhusu bifu lake na mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald Mengi, kupitia kwenye moja ya mahojiano ya kwenye kipindi maarufu cha Tv Hapa nchini .Mbali na kuelezea experience yake kwenye biashara yake, pia alizungumzia changamoto mbali mbali anazokabiliana nazo kwenye biashara zake, moja ya changamoto alizozielezea ni ile ya kushtakiwa na mfanyabiashara maarufu nchini,...
9 years ago
Bongo519 Oct
Nimefanya utafiti, nimegundua Tanzania ina wasanii bora Afrika — Seyi Shay
Muimbaji mrembo wa nchini Nigeria, Seyi Shay, amedai kuwa kupitia utafiti aliofanya, amegundua kuwa Tanzania ina wasanii wakali. Seyi Shay anayefanya vizuri sasa na wimbo wake, Right Now amesema hayo wakati akiongea na Diva kwenye kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM wiki iliyopita. “Nimekuwa nikifanya utafiti wangu, nyie [Tanzania] mna wasanii bora Afrika, […]
9 years ago
Bongo516 Sep
Kuna vitu vingi ambavyo nimefanya kama wa kwanza lakini huwa sipendi kuji-proud — Wakazi
Wakazi ni rapper ambaye ameshafanya vitu vingi vya kuweka rekodi kama msanii wa kwanza Tanzania kufanya lakini hapendi sana kujitangaza, kitu kinachofanya watu wasijue na wakati mwingine kumkosesha kupata pongezi anazostahili. “Kusema kweli sipendagi kujiproud, kuna vitu vingi ambavyo nimefanya kama wa kwanza,” alisema Wakazi kupitia kipindi cha Full Charge cha Pride Radio Mtwara. “Mbona […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania