Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nimefanya utafiti, nimegundua Tanzania ina wasanii bora Afrika — Seyi Shay

Muimbaji mrembo wa nchini Nigeria, Seyi Shay, amedai kuwa kupitia utafiti aliofanya, amegundua kuwa Tanzania ina wasanii wakali. Seyi Shay anayefanya vizuri sasa na wimbo wake, Right Now amesema hayo wakati akiongea na Diva kwenye kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM wiki iliyopita. “Nimekuwa nikifanya utafiti wangu, nyie [Tanzania] mna wasanii bora Afrika, […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Music: Seyi Shay Ft. D’banj – Tina

sheey

Staa wa muziki Seyi Shay kutoka Nigeria ameachia wimbo mpya unaitwa “Tina”, Amemshirikisha D’Banj hii ni single ya 16 inayopatikana kwenye Album mpya ya Seyi Shay, Seyi or Shay.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Sikiliza interview ya Diva na msanii wa Nigeria, Seyi Shay

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva the Bawse amefanya mahojiano na muimbaji wa Nigeria, Seyi Shay. Sikiliza interview hiyo ya kuvutia hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Seyi Shay unveils new album title and artwork, to be released next week

Seyi

The Nigerian, British R&B star Deborah Oluwaseyi Joshua, professionally known by her stage name Seyi Shay, has announced that she would be releasing her first ever solo album “Seyi or Shay” on the 13th of November 2015.

Seyi

Heyy guys! Finally my album is ready for the world #SeyiorShay will be available from the 13th of November… https://t.co/aXpVsOjUiZ

— #SEYIorSHAY 13-11-15 (@iamseyishay) November 4, 2015

The Album “Seyi or Shay” expresses the two sides of Seyi Shay and her music; Seyi...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Seyi Shay Feat. Banky W & Iyanya – Right Now Remix

Mwanaadada Seyi Shay kutoka Nigeria ameachia Rmx ya single yake “Right now” amewashirikisha wakali wengine wa muziki Iyanya na Banky W. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Vijimambo

Seyi Shay, Yemi Alade, Naeto C, Iyanya, Jesse Jagz, M.I & More Stars as MTV Base Announces Date for MAMAs 2015!

Naeto C & Seyi Shay
Seyi Shay, Yemi Alade, Naeto C, Iyanya, Jesse Jagz, M.I, Cynthia Morgan, Maria Okan, Gbemi Olateru-Olagbegi, Stephanie Coker, Ehiz, Ubi Franklin, DJ Spinall, DJ Xclusive, Dotun Kayode and many more stars were present at the press conference held by MTV Base today as they announced the date and categories for the upcoming MTV Africa Music Awards.
The event was held simultaneously in South Africa and in Nigeria.
Check out the photos from the press conference.



Seyi Shay


Seyi Shay

 

10 years ago

Bongo5

Mr Blue: Nimegundua nikitulia hakuna anayeniweza Tanzania

Rapper anayetamba na wimbo ‘Pesa’ amesema alichogundua na kujifunza katika muziki mwaka huu ni kuwa hakuna msanii anayeweza kumfikia hapa nchini kama akiamua kutulia. Akizungumza na Bongo5 leo, Blue amesema matokeo aliyoyapata mwaka huu katika muziki wake yamemwamsha usingizini. “Mwaka huu nimejifunza na kugundua hakuna anayeniweza Tanzania nzima ni kutulia tu na kufanya kazi zaidi,” […]

 

11 years ago

Michuzi

Shirikikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania lawasilisha maoni ya utafiti wa tasnia ya filamu nchini

 Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Joyce Mwakisyala  (katikati )akipokea maoni ya  Utafiti  kuhusu Tasnia ya Filamu Tanzania kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania (TAFF) Bwana Simon Mwakifwamba wa kwanza kulia, kushoto ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fissoo  Rais wa Shirikikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania (TAFF) Bwana Simon Mwakifwamba wa pili kutoka kulia akionyesha maoni ya  Utafiti ...

 

10 years ago

Bongo5

Utafiti waitaja Tanzania miongoni mwa nchi zenye watu wenye roho mbaya Afrika!

Kwa mujibu wa ripoti ya World Giving Index 2014, Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye watu wenye roho mbaya barani Afrika. Hiyo ni kwa mujibu wa utafiti uliodhaminiwa na Charities Aid Foundation (CAF) na kufanywa na kampuni ya utafiti ya Gallup na kuhusisha nchi 135 duniani kote. Data hizo zilikusanywa kuanzia mwaka 2013. Tanzania ilikamata […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani