Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mr Blue: Nimegundua nikitulia hakuna anayeniweza Tanzania

Rapper anayetamba na wimbo ‘Pesa’ amesema alichogundua na kujifunza katika muziki mwaka huu ni kuwa hakuna msanii anayeweza kumfikia hapa nchini kama akiamua kutulia. Akizungumza na Bongo5 leo, Blue amesema matokeo aliyoyapata mwaka huu katika muziki wake yamemwamsha usingizini. “Mwaka huu nimejifunza na kugundua hakuna anayeniweza Tanzania nzima ni kutulia tu na kufanya kazi zaidi,” […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nimefanya utafiti, nimegundua Tanzania ina wasanii bora Afrika — Seyi Shay

Muimbaji mrembo wa nchini Nigeria, Seyi Shay, amedai kuwa kupitia utafiti aliofanya, amegundua kuwa Tanzania ina wasanii wakali. Seyi Shay anayefanya vizuri sasa na wimbo wake, Right Now amesema hayo wakati akiongea na Diva kwenye kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM wiki iliyopita. “Nimekuwa nikifanya utafiti wangu, nyie [Tanzania] mna wasanii bora Afrika, […]

 

9 years ago

Bongo Movies

Nimegundua Mabinti Wanashindwa Kutofautisha Mume na Boyfriend-JB

jb61

Nakaribia 50 sasa na huku mtaani kwetu nimepewa heshima ya mzee wa mtaa… na kila j2 jioni huwa nasuluhisha kesi za wana ndoa…katika kesi nyingi nimegundua mabinti wanashindwa kutofautisha mume na mwanaume wa starehe (boyfriend) na ndio maana una weza ukaenda harusini watu wakabeza aiii kampendea nn??? Anamefata hela tuu…sababu kuna vitu mnaviangalia ambavyo si sifa za mume…ni ziada tu ambayo kama itakuwepo una bahati…mume anatakiwa awe na sifa nyingi lakini kuu ni kuwa macho…masikio…mikono...

 

10 years ago

Mwananchi

PROFESA ABOUD: Nimegundua njia za kulima bila kuwa na shamba

Watu wengi katika jamii za mijini wameshindwa kuendesha shughuli za kilimo kwa kukosa ardhi. Hata hivyo, kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia ya kilimo kukua, hivi sasa inawezekana kuendesha shughuli za kilimo bila ya kutegemea ardhi au shamba kama ilivyozoeleka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania yathibitisha hakuna Ebola

Tanzania imesema hakuna mgonjwa aliyethibitishwa kuwa na Ebola, baada ya kufanyiwa uchunguzi wagonjwa wawili walio tiliwa shaka.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Tanzania hakuna maabara kupima ebola’

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema Tanzania haina maabara yenye uwezo wa kuthibitisha vipimo vya ebola hivi sasa na kwamba inapotokea mtu kudhaniwa kuathiriwa na virusi vya ugonjwa huo, vipimo vyake ni lazima vithibitishwe nje ya nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yasema hakuna Ebola Tanzania

Tanzania imesema haina mgonjwa wa Ebola, baada ya kufanyiwa uchunguzi kwa wagonjwa wawili waliotiliwa shaka kuwa na ugonjwa huo.

 

9 years ago

Bongo5

Tanzania hakuna management kuna madalali — AT

Mwimbaji wa muziki wa mduara AT amesema wakati yupo chini ya management alikuwa haoni faida ya muziki wake. Akizungumza na Story Tatu ndani ya kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio, AT amesema Tanzania hakuna mameneja wa muziki bali kuna madalali. “Tanzania hakuna management kuna madalali tu,” alisema. “Wakati nasimamiwa nilikuwa sioni faida ya muziki […]

 

5 years ago

CCM Blog

TANZANIA IPO SALAMA HAKUNA UGONJWA WA CORONA

   Na Englibert Kayombo, WAMJW, Arusha.Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amewahakikisha Watanzania kuwa nchi bado iko salama na hakuna mgonwjwa yeyote mwenye ugonjwa wa Virusi vya Corona. 
Dkt Ndugulile ametoa kauli hiyo akiwa Jijini arusha katika Ziara zake za kikazi ambapo waandishi wa habari walimuuliza juu ya tetesi za uwepo wa ugonjwa huo nchini, pamoja na kutaka kufahamu ukweli wa taarifa za mtu anayedai kuwa na dawa za ugonjwa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Hakuna ubaya Wazanzibari kushtakiwa Tanzania Bara’

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetetea utaratibu wa watuhumiwa kukamatwa na kufunguliwa mashtaka katika Mahakama za Tanzania Bara wakiwamo Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani