Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Hakuna ubaya Wazanzibari kushtakiwa Tanzania Bara’

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetetea utaratibu wa watuhumiwa kukamatwa na kufunguliwa mashtaka katika Mahakama za Tanzania Bara wakiwamo Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Hakuna mwaka mbaya, ubaya unao mwenyewe

Jamani naona mwaka unaisha huku kila mtu akisema lake. Aliyelia kalia na aliyecheka kacheka, lakini wale wa kulalamika pia tunao. Utasikia; Oooh, mwaka haukuwa mzuri kwangu.

 

11 years ago

Mwananchi

Yakhe wakimbia nini? Mjumbe Bunge la #Katiba adai Wazanzibari wakiitosa Bara watakosa makazi [VIDEO]

Hoja mpya kuhusu mustakabali wa Muungano yaibuka leo katika Bunge Maalum la Katiba linaloendelea mjini hapa.

 

9 years ago

Mtanzania

Octopizzo: Sitajibu ubaya kwa ubaya

octoMSANII wa Kenya, Octopizzo amesema hatorekodi wimbo wa kuponda wabaya wake kwa kuwa kuendeleza ubaya kwa ubaya ni kupoteza muda bure.

Mwana hip hop huyo wa Kenya alikuwa katika majibizano makali na wasanii wenzake wa hip hop nchini humo; King Kaka, Jones, Khaligraph na Juliani.

Katika mahojiano na redio USIU ya nchini humo, alisema anapotaka kusaka mkwanja ataendelea kuusaka na hatotumia muda wake kujibizana.

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA : Bajeti za kibabe usajili wa Tanzania Bara

Usajili wa wachezaji Ligi Kuu Tanzania Bara kwa ajili ya msimu ujao umekaa kibabe tofauti na misimu mingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Sera ya Taifa ya elimu ya juu ya Tanzania: uzuri na ubaya wake

Leo nahitimisha mfululizo wa makala zilizotoka kwa kipindi cha wiki tano sasa kuhusu uzuri na ubaya wa sera ya elimu ya juu.

 

10 years ago

Mwananchi

Sera ya Taifa ya elimu ya juu ya Tanzania; uzuri na ubaya wake- 2

Tunaendelea kuichambua sera ya elimu ya juu kwa kuangalia maeneo ya upungufu.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA TANZANIA NA UNESCO KUADHIMISHA WIKI YA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA NA KUZINDUA MRADI WA NYARAKA ZA URITHI WA TANZANIA

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linalo shughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) itaadhimisha Wiki ya Ukombozi wa Bara la Afrika kuanzia tarehe 25 hadi 29 Mei, 2015 kwa kufanya maonesho ya picha na kumbukumbu mbalimbali zinazoonesha na kuelezea harakati za ukombozi wa bara la Afrika pamoja na midahalo mbalimbali itakayowahusisha wasomi na baadhi wa watu mashuhuri walioshiriki katika harakati za ukombozi. Maadhimisho hayo...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi akagua ujenzi wa bara bara Koani - Jumbi zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema uamuzi uliochukuliwa na Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar wa kujadiliana na mjenzi wa Bara bara ya Koani hadi Jumbi ndio njia pekee itakayoweza kufanikisha ujenzi wa Bara bara hiyo. Alisema uamuzi wa pande hizo mbili wa kupelekana Mahakamani hautowasaidia Wananchi ambao lengo lao ni kupata huduma za mawasiliano ya bara bara kwa kuendesha harakati zao za kimaisha.
Balozi Seif alisema hayo wakati akikagua ujenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani