Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania hakuna management kuna madalali — AT

Mwimbaji wa muziki wa mduara AT amesema wakati yupo chini ya management alikuwa haoni faida ya muziki wake. Akizungumza na Story Tatu ndani ya kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio, AT amesema Tanzania hakuna mameneja wa muziki bali kuna madalali. “Tanzania hakuna management kuna madalali tu,” alisema. “Wakati nasimamiwa nilikuwa sioni faida ya muziki […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Katika utamaduni wenu hakuna? Au kuna ...

Mmmh jamani, haya mambo ya nchi yetu ya tangazania yamezidi. Sasa hata mtoto wa shule amejiunga na wenzie kutangaza nia. Sina ubishi, yeye ana haki sawa na wengine lakini picha sasa imekuwa wazi. Kutangazania, kujitangaza pia, kutengeneza ubia, ili mradi jengo letu tukufu limegeuka kimbilio la wakosefu

 

10 years ago

Vijimambo

Lamudi Tanzania kutangaza huduma za madalali bure

Meneja Huduma kwa Wateja wa Lamudi Tanzania, Godwin Lemma akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam. Meneja Huduma kwa Wateja wa Lamudi Tanzania, Godwin Lemma akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam.[/caption] KAMPUNI ya Lamudi Tanzania, imetambulisha huduma yake ya kuwawezesha madalali mbalimbali wanaofanya kazi ya kuwatafutia nyumba, viwanja na magari wateja wao ili kuweza kutangaza huduma wanazotoa. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi leo jijini Dar es Salaam, Meneja Huduma kwa Wateja wa Lamudi Tanzania, Godwin Lemma amesema kwa sasa madalali...

 

11 years ago

IPPmedia

'Tanzania's disaster management need improvement'


IPPmedia
'Tanzania's disaster management need improvement'
IPPmedia
Disaster management has become a major problem in the country. The government has built a culture of waiting until events occur and then try to reddress the situation. Little is done to mobilize resources and put in place preventative mechanisms.

 

10 years ago

Global News Network

Tigo Tanzania announces management continuity


spyghana.com
Tigo Tanzania announces management continuity
Global News Network
Warning: Invalid argument supplied for foreach() in similarterms_taxonomy_node_get_terms() (line 517 of /home/content/01/11511701/html/sites/all/modules/similarterms/similarterms.module). Warning: array_keys() expects parameter 1 to be array, null given ...
Diego Gutierrez Assumes Post As New GM of Tigo Tanzaniaspyghana.com

all 3

 

11 years ago

Michuzi

WB Support to Improve Fiscal Management in Tanzania for Growth, Jobs and Better Access to Services

The World Bank’s Board of Executive Directors has approved a US$50 million credit from the International Development Association (IDA) to provide continuing support to Tanzania’s efforts to improve the quality of life for urban residents through improved fiscal management and improved infrastructure. The project will benefit some 1.4 million Tanzanians, of which nearly half are women.
The Tanzania Strategic Cities Project (TSCP) focuses on eight urban centers: Mwanza, Arusha, Mbeya,...

 

11 years ago

Michuzi

KENYA, TANZANIA, UGANDA MEETING ON TOURISM AND WILDLIFE MANAGEMENT ISSUES CONCLUDES IN ARUSHA

East African Community
East African Community Secretariat Arusha; 21 February 2014: The meeting of the Ministers/Cabinet Secretary responsible for Tourism, Wildlife Management, and EAC Affairs of the Republic of Kenya, the United Republic of Tanzania, and the Republic of Uganda to resolve their ongoing differences in tourism and wildlife management under the auspices of the EAC Secretariat concluded 20 February, 2014 at the EAC Headquarters in Arusha, Tanzania
The 17 to 20 February 2014...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wataka madalali wa mazao wadhibitiwe

SERIKALI imetakiwa kuwadhibiti madalali wa mazao ya shambani kwa kuwa ni maadui wanaosababisha kudidimiza kipato cha wakulima. Ushauri huo umetolewa na mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kisua...

 

10 years ago

Habarileo

CCM yakaripia viongozi madalali

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka viongozi wake walioanza kuwatembeza watu wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu, kuacha mara moja kwa kuwa wanakiuka kanuni za viongozi na maadili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani