Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nimegundua Mabinti Wanashindwa Kutofautisha Mume na Boyfriend-JB

jb61

Nakaribia 50 sasa na huku mtaani kwetu nimepewa heshima ya mzee wa mtaa… na kila j2 jioni huwa nasuluhisha kesi za wana ndoa…katika kesi nyingi nimegundua mabinti wanashindwa kutofautisha mume na mwanaume wa starehe (boyfriend) na ndio maana una weza ukaenda harusini watu wakabeza aiii kampendea nn??? Anamefata hela tuu…sababu kuna vitu mnaviangalia ambavyo si sifa za mume…ni ziada tu ambayo kama itakuwepo una bahati…mume anatakiwa awe na sifa nyingi lakini kuu ni kuwa macho…masikio…mikono...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Lulu:Lazima Ujue Kutofautisha Kati ya Fashion na Style

Mbali na mambo yote, hakuna anebisha kuwa muigizaji Elizabeth Michel “Lulu” ni mrembo na mara zote hakosei katika mitoko yake hasa linapokuja swala maswala ya mitindo katika uvaaji na muonekano kwa ujumla. Nadhani kwa hilo hakuna ubishi kuwa Lulu yuko vizuri.

Leo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram Lulu ameamua kutoa elimu kidogo kuhusu kutofautisha kati ya Fashion na Style

Aliandika;

"Jua Kutofautisha Kati Ya FASHION Na STYLE... Fashion z wat we buy,n STYLE z how you wear...

 

9 years ago

Bongo5

Man Walter aeleza kwanini wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri

Mtayarishaji wa muziki, Man Walter amesema wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri kutokana na kushindwa kuendana na mfumo wa muziki wa sasa. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Man Walter alisema wasanii hao wanahitaji ushauri wa ziada ili wafanye vizuri. “Unajua muziki umebadilika sana na wengi wanaoathirika na mfumo huu ni wasanii wakongwe, ndio maana wengi wanashindwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Mr Blue: Nimegundua nikitulia hakuna anayeniweza Tanzania

Rapper anayetamba na wimbo ‘Pesa’ amesema alichogundua na kujifunza katika muziki mwaka huu ni kuwa hakuna msanii anayeweza kumfikia hapa nchini kama akiamua kutulia. Akizungumza na Bongo5 leo, Blue amesema matokeo aliyoyapata mwaka huu katika muziki wake yamemwamsha usingizini. “Mwaka huu nimejifunza na kugundua hakuna anayeniweza Tanzania nzima ni kutulia tu na kufanya kazi zaidi,” […]

 

10 years ago

Mwananchi

PROFESA ABOUD: Nimegundua njia za kulima bila kuwa na shamba

Watu wengi katika jamii za mijini wameshindwa kuendesha shughuli za kilimo kwa kukosa ardhi. Hata hivyo, kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia ya kilimo kukua, hivi sasa inawezekana kuendesha shughuli za kilimo bila ya kutegemea ardhi au shamba kama ilivyozoeleka.

 

9 years ago

Bongo5

Nimefanya utafiti, nimegundua Tanzania ina wasanii bora Afrika — Seyi Shay

Muimbaji mrembo wa nchini Nigeria, Seyi Shay, amedai kuwa kupitia utafiti aliofanya, amegundua kuwa Tanzania ina wasanii wakali. Seyi Shay anayefanya vizuri sasa na wimbo wake, Right Now amesema hayo wakati akiongea na Diva kwenye kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM wiki iliyopita. “Nimekuwa nikifanya utafiti wangu, nyie [Tanzania] mna wasanii bora Afrika, […]

 

9 years ago

Vijimambo

11 years ago

TheCitizen

My son hates my new boyfriend

These are very trying moments that every mother will always dread. Children especially boys hate to see their mothers in the arms of other men who are not their fathers just as the girls would hate to see their fathers with other women.

 

10 years ago

Dewji Blog

Girl Shows Her Boyfriend Who Is the Boss!

This girl was so fed up with her boyfriend, who couldn’t stop using his smartphone, that she made quite a scene in public.

The girl was photographed literally dragging her boyfriend onto the subway at the Beijing subway station and the photos went viral earning the girl the nickname, “Subway Superwoman”.

securedownload

securedownload (1)

securedownload (2)

securedownload (3)

securedownload (4)

securedownload (5)

 

9 years ago

GPL

RIHANNA AAIBISHWA NA BOYFRIEND WAKE MPYA

Nyota wa muziki wa Pop, Rihanna. New York, Marekani NYOTA wa muziki wa Pop, Rihanna hivi karibuni alijikuta akiaibika mbele ya mashabiki wake baada ya kuvuja kwa kipande cha video katika mitandao ya kijamii kikimuonyesha mpenzi wake mpya, Travis Scott akitumia dawa za kulevya aina ya Cocaine. Katika kipande hicho cha video, Scott alionekana akiwa nyuma ya gari akijidunga dawa hizo huku akiongea… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani