Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lulu:Lazima Ujue Kutofautisha Kati ya Fashion na Style

Mbali na mambo yote, hakuna anebisha kuwa muigizaji Elizabeth Michel “Lulu” ni mrembo na mara zote hakosei katika mitoko yake hasa linapokuja swala maswala ya mitindo katika uvaaji na muonekano kwa ujumla. Nadhani kwa hilo hakuna ubishi kuwa Lulu yuko vizuri.

Leo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram Lulu ameamua kutoa elimu kidogo kuhusu kutofautisha kati ya Fashion na Style

Aliandika;

"Jua Kutofautisha Kati Ya FASHION Na STYLE... Fashion z wat we buy,n STYLE z how you wear...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Dakar fashion week shows Senegal style

Photos reveal model's journey through Dakar fashion week

 

9 years ago

Bongo5

Abryanz Style and Fashion Awards 2015 (full list of winners)

abryanz awards

The Abryanz Style and Fashion Awards 2015 took place on December 12th at The Kampala Serena Hotel. The awards that were attended by hundreds of fashion lovers saw the following bag awards in the different categories.

abryanz awards

1.Male Continental style & fashion influencer.
Jerry swanky (Nigeria)

2.Female Continental style & fashion influencer.
Bonang Matheba (South Africa)

3.East Africa’s most stylish couple.
Zari and diamond(Tanzania)

4.Special Recognition in Fashion.
Aamito Stacie Queen...

 

9 years ago

Bongo5

Hawa ni Watanzania wanowania ‘Style & Fashion Awards 2015’ za Uganda, Linah kutumbuiza

linah Ug

Mastaa mbali mbali wa muziki, wabunifu wa mavazi na wana mitindo wa Tanzania wanawania tuzo za ‘Style & Fashion Awards 2015’ (ASFAs) za Uganda. Tuzo hizo zitatolewa December 12 kwenye hoteli ya Serena jijini Kampala, Uganda.

linah Ug

Muimbaji wa Ole Themba, Linah Sanga yuko kwenye orodha ya wasanii waliopangwa kutoa burudani kwenye tuzo hizo. Msanii mwingine atakayetoa burudani ni muimbaji wa RnB kutoka Nigeria Banky W.

Wanaoiwakilisha Tanzania kwenye tuzo ni hawa:

ASFA-1

ASFA-2

ASFA-3

ASFA-4

ASFA-5

ASFA-6

ASFA-7

ASFA-8

ASFA-9

ASFA-10

ASFA-11

ASFA-12

ASFA-13

Jiunge na Bongo5.com...

 

10 years ago

GPL

OPEN CALL FOR FASHION DESIGNERS: OPPORTUNITY TO PARTICIPATE IN LONDON FASHION WEEK INTERNATIONAL FASHION SHOWCASE 2015‏

Open call to all Tanzanian or Tanzanian-based designers and fashion houses!
The Tanzanian Embassy, UK in association with the British Council and the British Fashion Council is participating in the International Fashion Showcase 2015 to run from 19 – 24 February 2015 (in parallel with London Fashion Week 20-24 February 2015). The International Fashion Showcase (IFS) is addressed to foreign embassies and cultural...

 

9 years ago

Bongo5

Afande Sele kumaliza kesi ya neno ‘Simba’ kati ya Diamond na Mr Blue kwa style hii

Simba

Mfalme wa Rhymes, Afande Sele ameingilia kati malumbano kati ya Diamond Platnumz na Mr Blue juu ya umiliki halali wa jina ‘Simba.’

Simba

Ikumbukwe kuwa Blue ndiye aliyelalamika kuhusu jina hilo lakini Diamond bado hajajibu kitu.

Afande anajipanga kurudia wimbo wake ‘Simba Dume’ ambao anataka awashirikishe Diamond na Mr Blue ili kila mmoja ajieleze yeye ni Simba wa aina gani! Patamu hapo…

Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumanne hii, Afande alisema hatua hiyo itawafanya wasanii...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Mmoja Kati ya Hawa Akinichukia Ndio Nitapata Pressure, Lakini Wengine…..

Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael “Lulu” akiwa na familia yake, Mama na mdogo wake wanapata  ‘Lunch’  Aliweka picha hii mtandaoni na kuandika kuwa, kama ikitokea mmoja kati ya  wanafamilia hao, akimchukia ndio anaweza akapata ‘pressure’ lakini wengine wote hata wamchukie hawezi kujali na atatafuta njia ya kushughurika nao.

“Lunch thngz wth Family, Ikitokea mmoja kati ya hawa akanichukia ndo ntaweza kupata pressure....but the rest, I'll search 4 a Fck to give” Lulu...

 

9 years ago

Bongo Movies

Nimegundua Mabinti Wanashindwa Kutofautisha Mume na Boyfriend-JB

jb61

Nakaribia 50 sasa na huku mtaani kwetu nimepewa heshima ya mzee wa mtaa… na kila j2 jioni huwa nasuluhisha kesi za wana ndoa…katika kesi nyingi nimegundua mabinti wanashindwa kutofautisha mume na mwanaume wa starehe (boyfriend) na ndio maana una weza ukaenda harusini watu wakabeza aiii kampendea nn??? Anamefata hela tuu…sababu kuna vitu mnaviangalia ambavyo si sifa za mume…ni ziada tu ambayo kama itakuwepo una bahati…mume anatakiwa awe na sifa nyingi lakini kuu ni kuwa macho…masikio…mikono...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Ujue ugonjwa wa figo

Magonjwa ya figo Figo hufanya kazi muhimu mwilini ambazo ni:- • Kudhibiti na kuhifadhi virutubishi na maji na kuondoa mabaki kupitia mkojo. • Kuchuja damu ili kuondoa mabaki ambayo ni sumu mwilini. Baadhi ya mabaki hayo ni urea, uric acid, creatinine na ammonia. • Kudhibiti viwango vya electrolyte mwilini, yaani Sodium (Na+ ) na Potassium (K+). Sodium husaidia kudhibiti wingi wa maji mwilini na pia huwezesha mawasiliano kati ya mfumo wa fahamu na misuli (enhances commucacation between...

 

10 years ago

GPL

UJUE UNDANI WA MEZ B

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva aliyekuwa akiwika na kundi la Chamber Squad, Moses Bushagama ‘Mez B’ amefariki dunia asubuhi ya leo majira ya saa 4:30 mjini Dodoma.Hii imekuwa ni pigo la pili kwa kundi la Chamber Squad kupoteza memba wake baada ya awali kumpoteza Albert Mangweha ‘Ngwear’.Katika makala haya yanauelezea undani wa Mez B mpaka kufikia umauti. Mez B akiwa katika moja ya mahojiano na kituo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani