Lulu:Lazima Ujue Kutofautisha Kati ya Fashion na Style
Mbali na mambo yote, hakuna anebisha kuwa muigizaji Elizabeth Michel “Lulu” ni mrembo na mara zote hakosei katika mitoko yake hasa linapokuja swala maswala ya mitindo katika uvaaji na muonekano kwa ujumla. Nadhani kwa hilo hakuna ubishi kuwa Lulu yuko vizuri.
Leo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram Lulu ameamua kutoa elimu kidogo kuhusu kutofautisha kati ya Fashion na Style
Aliandika;
"Jua Kutofautisha Kati Ya FASHION Na STYLE... Fashion z wat we buy,n STYLE z how you wear...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83631000/jpg/_83631130_2-aminata-make-up.jpg)
9 years ago
Bongo514 Dec
Abryanz Style and Fashion Awards 2015 (full list of winners)
![abryanz awards](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/abryanz-awards-300x194.png)
The Abryanz Style and Fashion Awards 2015 took place on December 12th at The Kampala Serena Hotel. The awards that were attended by hundreds of fashion lovers saw the following bag awards in the different categories.
1.Male Continental style & fashion influencer.
Jerry swanky (Nigeria)
2.Female Continental style & fashion influencer.
Bonang Matheba (South Africa)
3.East Africa’s most stylish couple.
Zari and diamond(Tanzania)
4.Special Recognition in Fashion.
Aamito Stacie Queen...
9 years ago
Bongo518 Nov
Hawa ni Watanzania wanowania ‘Style & Fashion Awards 2015’ za Uganda, Linah kutumbuiza
![linah Ug](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/linah-Ug-300x194.jpg)
Mastaa mbali mbali wa muziki, wabunifu wa mavazi na wana mitindo wa Tanzania wanawania tuzo za ‘Style & Fashion Awards 2015’ (ASFAs) za Uganda. Tuzo hizo zitatolewa December 12 kwenye hoteli ya Serena jijini Kampala, Uganda.
Muimbaji wa Ole Themba, Linah Sanga yuko kwenye orodha ya wasanii waliopangwa kutoa burudani kwenye tuzo hizo. Msanii mwingine atakayetoa burudani ni muimbaji wa RnB kutoka Nigeria Banky W.
Wanaoiwakilisha Tanzania kwenye tuzo ni hawa:
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdYJnUo95FB0i5fapA-MATJADkL187EqIEaRbzUpW263FNql2FUhxAsL-z1AgChxG4tvb8lEw5wmWMkGAg3Vg07N/TANZANIA.jpg?width=650)
OPEN CALL FOR FASHION DESIGNERS: OPPORTUNITY TO PARTICIPATE IN LONDON FASHION WEEK INTERNATIONAL FASHION SHOWCASE 2015
9 years ago
Bongo529 Dec
Afande Sele kumaliza kesi ya neno ‘Simba’ kati ya Diamond na Mr Blue kwa style hii
![Simba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Simba-300x194.jpg)
Mfalme wa Rhymes, Afande Sele ameingilia kati malumbano kati ya Diamond Platnumz na Mr Blue juu ya umiliki halali wa jina ‘Simba.’
Ikumbukwe kuwa Blue ndiye aliyelalamika kuhusu jina hilo lakini Diamond bado hajajibu kitu.
Afande anajipanga kurudia wimbo wake ‘Simba Dume’ ambao anataka awashirikishe Diamond na Mr Blue ili kila mmoja ajieleze yeye ni Simba wa aina gani! Patamu hapo…
Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Jumanne hii, Afande alisema hatua hiyo itawafanya wasanii...
10 years ago
Bongo Movies18 Jan
Lulu: Mmoja Kati ya Hawa Akinichukia Ndio Nitapata Pressure, Lakini Wengine…..
Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael “Lulu” akiwa na familia yake, Mama na mdogo wake wanapata ‘Lunch’ Aliweka picha hii mtandaoni na kuandika kuwa, kama ikitokea mmoja kati ya wanafamilia hao, akimchukia ndio anaweza akapata ‘pressure’ lakini wengine wote hata wamchukie hawezi kujali na atatafuta njia ya kushughurika nao.
“Lunch thngz wth Family, Ikitokea mmoja kati ya hawa akanichukia ndo ntaweza kupata pressure....but the rest, I'll search 4 a Fck to give” Lulu...
9 years ago
Bongo Movies06 Jan
Nimegundua Mabinti Wanashindwa Kutofautisha Mume na Boyfriend-JB
Nakaribia 50 sasa na huku mtaani kwetu nimepewa heshima ya mzee wa mtaa… na kila j2 jioni huwa nasuluhisha kesi za wana ndoa…katika kesi nyingi nimegundua mabinti wanashindwa kutofautisha mume na mwanaume wa starehe (boyfriend) na ndio maana una weza ukaenda harusini watu wakabeza aiii kampendea nn??? Anamefata hela tuu…sababu kuna vitu mnaviangalia ambavyo si sifa za mume…ni ziada tu ambayo kama itakuwepo una bahati…mume anatakiwa awe na sifa nyingi lakini kuu ni kuwa macho…masikio…mikono...
11 years ago
KwanzaJamii25 Apr
Ujue ugonjwa wa figo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3vq4jAsXCL4wzHUSvhj5X9NJkNaVenOWlxuAjdWlcu*dNxWX5h5IckSmvCx7SeKEyGFm0eXbxGos0dB1cPohg4c/Untitled2.jpg)
UJUE UNDANI WA MEZ B