Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hawa ni Watanzania wanowania ‘Style & Fashion Awards 2015’ za Uganda, Linah kutumbuiza

linah Ug

Mastaa mbali mbali wa muziki, wabunifu wa mavazi na wana mitindo wa Tanzania wanawania tuzo za ‘Style & Fashion Awards 2015’ (ASFAs) za Uganda. Tuzo hizo zitatolewa December 12 kwenye hoteli ya Serena jijini Kampala, Uganda.

linah Ug

Muimbaji wa Ole Themba, Linah Sanga yuko kwenye orodha ya wasanii waliopangwa kutoa burudani kwenye tuzo hizo. Msanii mwingine atakayetoa burudani ni muimbaji wa RnB kutoka Nigeria Banky W.

Wanaoiwakilisha Tanzania kwenye tuzo ni hawa:

ASFA-1

ASFA-2

ASFA-3

ASFA-4

ASFA-5

ASFA-6

ASFA-7

ASFA-8

ASFA-9

ASFA-10

ASFA-11

ASFA-12

ASFA-13

Jiunge na Bongo5.com...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Abryanz Style and Fashion Awards 2015 (full list of winners)

abryanz awards

The Abryanz Style and Fashion Awards 2015 took place on December 12th at The Kampala Serena Hotel. The awards that were attended by hundreds of fashion lovers saw the following bag awards in the different categories.

abryanz awards

1.Male Continental style & fashion influencer.
Jerry swanky (Nigeria)

2.Female Continental style & fashion influencer.
Bonang Matheba (South Africa)

3.East Africa’s most stylish couple.
Zari and diamond(Tanzania)

4.Special Recognition in Fashion.
Aamito Stacie Queen...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waliong’ara kwenye Red-Carpet 2015 Grammy Awards hawa hapa!

Madonna, Giuliana Rancic, Sam Smith.(All Photos by Getty Images).

grammys1

Charlie Benante, Kelly Osborne, Jesse McCartney.

grammys2

Jessie J, HAIM, Ariana Grande

grammy4

Flip, Soli Olds, Angelique Kidjo.

red-carpet-57th-grammy-awards-trip-recovered

Billy Ray Cyrus, Clean Bandit, Aloe Blacc.

grammys5

Childish Gambino, Gwen Stefani, Sean Paul

grammys6

Big Sean, Chrissy Tiegan and John Legend, Dierks Bentley.

grammys7

Katherine McPhee, Weird Al, Jhene Aiko.

grammys8

Hozier, Sia, Blake Shelton and Miranda Lambert.

grammys9

Ed Sheeran, Annie Lennox, Questlove

grammys10

Chris Brown, Meghan Trainor, Ryan Adams

grammys11

 

10 years ago

GPL

OPEN CALL FOR FASHION DESIGNERS: OPPORTUNITY TO PARTICIPATE IN LONDON FASHION WEEK INTERNATIONAL FASHION SHOWCASE 2015‏

Open call to all Tanzanian or Tanzanian-based designers and fashion houses!
The Tanzanian Embassy, UK in association with the British Council and the British Fashion Council is participating in the International Fashion Showcase 2015 to run from 19 – 24 February 2015 (in parallel with London Fashion Week 20-24 February 2015). The International Fashion Showcase (IFS) is addressed to foreign embassies and cultural...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond na Ommy Dimpoz watajwa kuwania tuzo za HiPipo Music Awards 2015 za Uganda

Mastaa wa Tanzania Nasibu Abdul a.k.a Diamond Platnumz na Omary Nyembo a.k.a Ommy Dimpoz, nyimbo zao zimetajwa kuwania tuzo za HiPipo Music Awards (HMA2015) za Uganda zinazotarajiwa kutolewa mwakani. ‘Number One’ (original) ya Diamond na ‘Ndagushima’ ya Dimpoz zinachuana na nyimbo zingine za Afrika Mashariki kwenye kipengele kimoja cha East Africa Super Hit. Nyimbo za […]

 

10 years ago

BBC

Dakar fashion week shows Senegal style

Photos reveal model's journey through Dakar fashion week

 

9 years ago

Dewji Blog

Femi Asu wins Ecobank Economic & Business Award at CNN MultiChoice African Journalist Awards 2015

1W6A4324

Ecobank Group Head of Corporate Communications Richard Uku presented the award to Mr Asu at a gala ceremony marking the 20th anniversary of the CNN MultiChoice African Journalist Awards.

Femi Asu of Nigeria’s Punch Newspaper is the winner of the Ecobank Economics & Business Award at the 2015 CNN MultiChoice African Journalist Awards (https://africa.cnnjournalistaward.com/en/home/).

Ecobank Group Head of Corporate Communications Richard Uku (http://www.ecobank.com) presented the award to Mr...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu:Lazima Ujue Kutofautisha Kati ya Fashion na Style

Mbali na mambo yote, hakuna anebisha kuwa muigizaji Elizabeth Michel “Lulu” ni mrembo na mara zote hakosei katika mitoko yake hasa linapokuja swala maswala ya mitindo katika uvaaji na muonekano kwa ujumla. Nadhani kwa hilo hakuna ubishi kuwa Lulu yuko vizuri.

Leo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram Lulu ameamua kutoa elimu kidogo kuhusu kutofautisha kati ya Fashion na Style

Aliandika;

"Jua Kutofautisha Kati Ya FASHION Na STYLE... Fashion z wat we buy,n STYLE z how you wear...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani