‘Tanzania hakuna maabara kupima ebola’
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema Tanzania haina maabara yenye uwezo wa kuthibitisha vipimo vya ebola hivi sasa na kwamba inapotokea mtu kudhaniwa kuathiriwa na virusi vya ugonjwa huo, vipimo vyake ni lazima vithibitishwe nje ya nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Mkuu wa maabara ya kupima wanariadha ajiuzulu
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Tanzania yathibitisha hakuna Ebola
10 years ago
Habarileo20 Oct
Maabara ya kupima ubora wa bidhaa kujengwa Dar
UJENZI wa maabara kubwa ya kisasa ya kupima ubora wa bidhaa mbalimbali zinazozalishwa nchini utaanza karibuni Ubungo, Dar es Salaam, kwa msaada wa Serikali ya China. Akizungumza Dar es Salaam hivi karibuni, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Mussa Uledi alisema, maabara hiyo itakayogharimu Sh bilioni 10, itamaliza adha mbalimbali za kimaabara zinazojitokeza, ikiwemo kuwekwa sakafuni kwa sampuli zisizostahili kuwekwa chini kama vile vyakula.
11 years ago
Habarileo09 Jul
TIRDO wamiliki maabara ya kupima ubora wa chakula
WAMILIKI wa viwanda na wafanyabiashara wa vyakula wameshauriwa kutumia maabara ya kisasa ya kupimia ubora wa chakula ya Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda (TIRDO).
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Serikali yasema hakuna Ebola Tanzania
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-bxlltlywdqA/Xtc8X-UjRVI/AAAAAAAAnug/7dVOD1_9LJ0kMySeqNRT8qtdyZ6lNnV6wCLcBGAsYHQ/s72-c/124b0cab-8967-4a24-9e61-4019b285f2c7%2B%25281%2529.jpg)
TBS KUANZA KUTUMIA MAABARA YA NYEGEZI MWANZA KUPIMA SAMPULI ZA VYAKULA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-bxlltlywdqA/Xtc8X-UjRVI/AAAAAAAAnug/7dVOD1_9LJ0kMySeqNRT8qtdyZ6lNnV6wCLcBGAsYHQ/s400/124b0cab-8967-4a24-9e61-4019b285f2c7%2B%25281%2529.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa TBS Dkt Athuman Ngenya ameyasema hayo leo wakati wa Ziara ya Katibu Mkuu wa WIizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe aliyeambatana na Naibu wake Mhe. Ludovick Nduhiye, katika ofisi za TBS jijini Mwanza.
Dkt. Ngenya amesema kwa sasa TBS na NQCL zipo...
10 years ago
Habarileo27 Feb
RC: Hakuna visingizio ujenzi wa maabara
MKUU wa mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo amewataka wakuu wa wilaya mkoani humo kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa maabara za sayansi kwenye kata ifikapo Machi mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Hospitali ya Mbeya kupima ebola
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Hospitali ya Mbeya yateuliwa kupima ebola